Mmekopa na nani?
Sisi maskini hizo fedha hazijawahi kutufikia hasa ukizingatia huduma za kijamii tunazilipia kila mahala.
Waliokopa ni hao hao viongozi na familia zao kwani wanafaidika wao.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mnafiki mwenzio!!!
Mbowe ni serikali na yuko kazini wanafiki kama nyie ndiyo mnaupotosha umma kwa sasa kwa kupanga matukio.
Nabi anaweza kumdhuru mtoto wake mwenyewe????
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Yeye kwanini hakuipotezea ya kagame au na wewe unanipangia cha kupost?
Mwenyewe kaelewa unawashwa nini?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Rafiki yangu tafuta vitu vya kuandika basi kama huna unaonaje ukikaa kimya kwani nani atakuona hujui fb?
Huu ni upimbi watu wanahitaji mijadala inayowajengea weledi siyo upumbavu kama huu.
Ifikie maadmin nyuzi kama hizi zisizo na tija zifutwe kabisa, ujinga gani huu?
Sent from my SM-A107F...
Usilazimishe maana yako ikubalike unajua alimaanisha ubinafsi upi ktk hotuba hiyo?mbona mnakuwa watu wa kuchamba mnaosubiri mtu anye then mmchambe.
Acheni tabia za kishamba aisee!!
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Usikimbilie kulalamika na kukosoa mtafute aliyeandika umuulize alimaanisha nini siyo kuja na tafasiri yako,je akikwambia alimaanisha mtu/watu binafsi na siyo jumuiya/utasimamia wapi?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wapinzani wa tanzania hakuna wasichoamini hata wakiambiwa mama maria nyetere ni gaidi na akasimamishwa mahakamani watakubali
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sheria siyo ushabiki kama siasa mzee bali ni utaalamu,kinachokusumbua ni uchochezi na siasa za maji taka.
Utahangaila sana kwenye mitandao juu ya hili tafuta kazi ya kufanya,plz!!
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Habarini wadau,
Kuna mgonjwa jirani yangu ameambiwa achome dawa ya sindano aina ya "Histoacryl glue injection therapy for oesophageal, gastric and ectopic varices" kulingana na tatizo lake.
Mwenye kujua inauzwa wapi atusaidie kutuelekeza kwa aumetafuta sana bila mafanikio.
Asanteni
Sent from...
Liambie bwana halina kazi nyingine zaidi ya umbea ,sasa anataka kumpangia hadi rais wa Uganda ratiba
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Haya ndiyo tunaweza kujadili Waafrika hasa waTZ na kuacha kujadili maswala muhimu yenye kutujenga na kutupeleka mbele kimaendeleo
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hawa nao wana mbunge na bado wanaendelea kushiriki katika chaguzi ndani ya Afrika hii?
Viongo-zi,matajri na mastaa wa Afrika wapo kustarehe tu na kuzawadiana fedha na mali wakisubiri WAZUNGU wawape misaada ya kurekebisha ujinga huu
Huu ndiyo uafrika wetu na ule ndiyo UZUNGU wao...
Wajinga ndiyo waliwao mbowe na ccm na serikali damu damu kalelewa huko leo eti wamshitaki kwa lipi hasa kama siyo kuwageuza ubongo wananchi?
Watu sijui watakuwa na akili za kujiongeza lini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.