Jamani natafuta air mass sensor ya Nisan serena make ya 1997. Nitapata wapi au mwenye nayo tuwasiliane inbox tuyajenge.
Air flow sensor for NISSAN SERENA (C23M)
1992–2001 2.0 16V, Petrol SR20DE , 93kW
Change vehicle
Results found: 1
Air Mass Sensor Denso DMA-0214
Item code: AL604740...
Mh, kama anaweza vunja Mabaraza ya kata, ambayo yapo kisheria, kesho nawaapia atatangaza kuvunja Magistrates court. Ngoja imhukumu "mpendwa wa mkojo" na bangi kuwa na hatia! mtaona. Mkuu wa mamlaka za mahakama hizi ajiandae kwa pigo hilo!
Jaji Kiongozi (Head of anti corruption court) Bwana . Danladi Yakubu Umar alipokea mlungula wa US$ 27,800 na US$ 5000 ili aweze "kumlegezea mtu kesi ambazo zilikuwa mbele yake. Kitengo cha kupambana na rushwa nchini humo ( TAKUKURU ya Nigeria) kimebainisha.
Mahakama ta mafisadi kwetu...
Utafiti umeonyesha kuwa Ushoga unakuwa biologically determined. watafiti wameendelea kuonyesha kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya kuwa na tabia za ushoga na genes fulani na hivyo kutoa mwanga zaidi kuwa mashoga sexual orientation yao is genetically controlled, na hivyo kuzidi kutoa ushahidi wa...
Tumejifunza nini? Bei ilikuwa Tsh 1800, kabla ya Rais kuingilia kati, sasa ni 3000 Tsh. baada ya kuingilia kati. Kuna la kujifunza hapa, tumejifunza nini?
Sent from my HM NOTE 1LTEW using JamiiForums mobile app
Uchunguzi wangu unaonyesha vijana wenye Div 1 na 2 wanakacha kwenda form five na kwenda vyuoni hasa vya utabibu, kulikoni?
Sent from my HUAWEI G730-U10 using JamiiForums mobile app
Lizaboni, Jingalao, Motochini and Lumumba company Ltd., mnajitapa kuwa idara ya utumishi wa umma maofisini kumekuwa na nidhamu, Nenda idara ya ardhi Moshi uone rushwa ilivyotamalaki! Na siyo Moshi tu, idara ya ardhi Tanzania nzima, Lukuvi la maofisini hajafanikiwa. Nawataarifu hakuna nidhamu...
Mwananchi limeandika jinsi treni itakavyoleta miujiza. Najiuliza, hivi miujiza ya mabasi ya mwendokasi ilishakuwa realised? Tuliaminishwa miujiza na mabasi, tuamini na treni? Ngoja tuwe na matumaini, lakini tuanze, tuthubutu!
Wataalamu naomba kujua kwa nini keyboard ya laptop, hp, split type haifanyikazi. Nikiweka keyboard remotely controlled inafanyakazi. Tatizo lake ni nini?
Nimesikiliza mkutano mkuu wa nchi wanachama wa ICC. Bado Bensuda ana imani kuwa nchi zitabakia kuwa wanachama. Ikitokea nchi za kiafrika zikajitoa, wananchi wake wakakosa tumaini la kupata haki kutoka kwa watawala wao madikiteita, kuna uwezekano mkubwa nchi hizo zikajikuta zinaingia katika...
Nina Desktop HP yenye Windows 7 ULTIMATE. Nimeconnect printer HP inaleta madudu haya:
1. Default printing inakataa- default printer connection inakataa
2. It does not print excell and Powepoint
Msaada tafadhali
Wapendwa naomba msaada wa hili. Nilinunua shamba, mwanaukoo akataka kulikomboa (redeem a clan shamba). Akaambiwa kuwa alipe laki saba. Hakimu hakuweka hizo hela zilipwe ndani ya muda gani. Imepita kama miaka 5 , leo ameibuka eti anataka kulipa. Je sheria inasemaje katika scenario kama hiyo.
Asante.
Someni hiyo bandugu:
Criticism of Government Does Not Constitute Sedition, Says Supreme Court
By J. Venkatesan on 05/09/2016 •
The apex court on Monday cautioned the police against misuse of the sedition law and directed them to follow its earlier Kedar Nath judgment.
ABVP activists...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.