Piga kura hapa ili tumalize huu utata humu jukwaani, timu gani ina mashabiki wengi kati ya Simba (Wenye nchi) na Young Africans/Yanga (Wananchi)?
Usipoteze kura yako.
Nakumbuka Baba yangu mzazi alikuwa anasumbuliwa na saratani ya ngozi.Tulifanya jitihada za kila namna kuokoa maisha ya baba yetu mpendwa,tulizunguka hospitali mbalimbali ila mwisho wa siku tukaelekezwa tuelekee hospitali ya Ocean Road Dar-es-salaam.
Ndugu walipambana kuchangishana hela ili mzee...
Ni haki na wajibu wa kila Mtanzania kuhakikisha rasilimali za nchi yake hazichezewi hovyo.Nawapongeza nyote munaotoa maoni yenu ya kuukosoa huu mkataba ila chonde chonde, tujitahidi kuongeza umakini tunapokosoa.
Kikawaida,imani ina nguvu sana kwenye suala la ushawishi. Unaweza kushangaa mtu...
Picha linaanza, nimeenda ukweni kanda ya ziwa kulipa mahari. Siku hiyo walichinja Ng'ombe na msosi ulikuwa wa kutosha. Muda wa kula nakumbuka sisi tuliwekwa sehemu moja na wenyeji wetu wawili ili tusiwe wapweke, daah walivyokuwa wanalamba vidole wale mabwana hadi nikaghairi kula. Wenyewe...
Hivi kwanini Bongo tunaishi kama gari bovu. Ada za usajili za wachezaji haziwekwi wazi, hata malipo viwanjani nayo magumashi kibao.
Haya tuwekeeni hapa kifungu cha kanuni ya bodi ya ligi kuhusu mfungaji bora.
Ahsanteni.
Habarini wakuu.Nahitaji msaada.
Mwaka huu mwezi wa kwanza,nikiwa nimetulia katika mgahawa fulani ulio na lodge kwa pembeni huku nikishushia msosi wa jioni,kuna jamaa alinifuata kwenye meza yangu.Huyu jamaa kwa makadirio ana umri wa miaka 37-40, basi nikiwa sina hili wala lile jamaa akanipa hai...
Haya wazee wa chit-chat,mi naanza.
1)Tafuta hela, hakunaga mke wa mtu.
2)Tafuta hela, bodaboda si usafiri official.
3)Tafuta hela, hakuna kitu kinachoitwa wikend (week-end)
4)Tafuta hela, mboga ya mchana haibakizwi hadi jioni.
5)Tafuta hela, kanisa halikatai kuja kukuzika.
6)Tafuta hela...
Habarini wakuu,
Nisaidieni blogs, youtube chanels au hata websites zinazofundisha ufundi TV, SUBWOOFERS, na Radio nyinginezo bure.
Natanguliza shukrani.
Habarini wakuu.
Najua kuna wimbi kubwa sana la vijana wasio na ajira. Hata wanaothubutu kujiajiri nao bado wanapata changamoto mbalimbali na mitaji yao inapotea pasipo kufanya jambo la maana. Hebu soma kisa changu.
Ilikuwa ni mwaka jana(2020) mwezi wa saba nilipoamua kutoka mjini na kuhamia...
Habarini wakuu.Maisha yana funzo kubwa sana,ukiwa na roho nyepesi waweza kukata tamaa.
Ilikuwa ni siku ya jumamosi asubuhi,mwezi wa kumi mwaka 2019,miezi miwili tangu nihitimu shahada yangu ya kwanza kutoka chuo kikuu cha Dodoma(UDOM).Nipo zangu nimejipumzisha ndani ya chumba nilichopanga...
Habarini wakuu,
Majuzi hapo kuna mtu nilimtumia meseji(sms) ya salamu kwa kutumia namba yangu ngeni niliyoisajili siku tano zilizopita. Na hii namba ndio mara ya kwanza kuitumia kwa kumtumia meseji huyo muhusika.Ila nilishangaa aliponijibu kwa kuandika.
"Huku poa, ila samahani. Simu yangu...
Habarini wakuu.Tunajua watu wengi wamepoteza wapendwa wao kutokana na ajali za barabarani.Wengi wamepata ukilema kisa ajali,ndoto zetu nyingi zimezimwa kutokana na ajali za barabarani. Nimeona nishee nanyi hii mada ili kupunguza ajali za barabarani. Ungana nami mwanzo mpaka mwisho wa nakala hii...
Habarini wakuu. Mimi ni kijana "age below 35". Napenda sana siku zijazo nije kuwa miongoni mwa watu wenye uwezo mkubwa wa kuamrisha internet kufanya kile ninachotaka. Hizi 'Search engines' zote kuanzia google hadi yahoo nizikosoe kwa namna moja ama nyingine. Hizi facebook, whatsap, instagram...
UTANGULIZI:
Ni jumapili ya tarehe 14/03/2010,Mida ya saa 10 jioni vinasikika vilio vya uchungu ndani ya nyumba kuukuu iliyopo maeneo ya uswahilini kata ya Mpambano wilayani Majita.Ni kilio hiki ndicho kinachowafanya majirani wasogee karibu na nyumba ya Mzee Mohammed kuangalia kuna nini...
Habarini wakuu,hivi chanzo ni nini?.Nimechunguza kwa watu wengi(kama si wote) including me,kila nikilalia mgongo nyakati za usiku lazima niote ndoto za kutishatisha tu.Sijawahi kulala chali(kulalia mgongo) alafu nisiotr ndoto za kutisha.Hivi chanzo kikuu ni nini?.Nimeulizia kwa watu wengi nao...
Naomba kuuliza waungwana kama kuna uwezekano wa mtu aliyesoma bachelor of science with education(chemistry and biology) kujiendeleza masters kwa kuchukua maswala ya udaktari au pharmacy.
Habarini wanajukwaa, naomba kuuliza kama kuna uwezekano wa mtu aliyehitimu degree BSC EDUCATION(Chemistry and Biology) kuweza kusomea masters masuala ya udaktari wa binadamu au madawa. Nielimisheni wapendwa.Nakaribisha maoni na ujuzi.Ahsante!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.