Serikali ya Umoja wa Kitaifa ulitaka Mkristo gani awemo? Nani ameichagua serikali ya umoja wa Kitaif? Kwenye CUF kuna mkristo gani ambaye ni mwakilishi wa jimbo mpaka achaguliwe kwenye werikali ya umoja wa kitaifa?
Wewe mdini humchukii Seif unachukia Uislamu wa Zanzibar. Na hili litakusumbua...
Sony Smartwatches - Daily charging
Samsung Gear Watch - Daily Charging
LG G Watch - Daily Charging
Pebble Watch - Weekly charging (roughly) - Ubovu wake hii haina touch screen, mbaya zaidi inatumia monochrome e paper display, rangi haina. That is the sacrifice you need to make kuepuka kuchaji...
Hatimae baada ya miaka miwli na ushee Apple wametoa saa ya smart. Saa hii sio tu itaimarisha mauzo ya iPhone bali pia inakuwa ni gajeti ya kwanza ya aina mpya kutolewa na Apple tangu Tim Cook kuwa Afisa Mtendaji mkuu wa Apple kufuatia kifo cha liyekuwa mwanzilishi wa kampuni hiyo Steve Jobs...
APPLE WAZIMA KELELE ZA WAPINZANI NA IOS 8.0.2
Mwandishi Wetu
Apple wametimiza ahadi ya kutokulala mpaka kieleweke kuhusu iOS. Siku ya leo wametoa iOS 8.0.2 ambayo itasuluhisha matatizo kadhaa baada ya jaribio la kurekebisha tatizo hilo kufeli vibaya mno walipotoa iOS 8.0.1 kwa kuongeza...
Awali nilizungumzia kwamba siamini kwamba iPhone 6 Plus inaweza kuvunjika kwa kuiweka mfuko wa mbele bila ya kuikalia, na kueleza kwamba mwenyewe nimefanya jaribio hilo. Niliweka wazi kwamba the whole story have been blown out of proportion due to media frenzy na sensationalism. BBC are joining...
Nilisema awali kwamba hi issue ni media frenzy na sensationalism. BBC technology wamefanya "unscientific test" juu kuvunjika kwa iPhone kwa kuiweka mfuko wa mbele na wa nyuma. Wamekalia kwenye sofa na kiti cha kawaida chenye surface ngumu mara kadhaa, simu haikupinda wala nini. Off course mimi...
This is purely my guess that the next generation iPhone may have Sapphire glass. Please don't take my word for it. Sapphire glass is still pretty expensive so Apple may or may not use next year. Not only that it is still very expensive but as well the production is yet to meet the demand...
chief-mkwawa unaona je tuanze thread mpya "iPhone 6 Plus Vs Samsung Galaxy Note 4". Hapa naona kama hapatoshi! Halafu ndio hizi tu strengh za Note 4 au unanitania?
iOS 8 ina tatizo moja tu kubwa nalo ni la Health Kit, yaliyobaki ni bugs wa kawaida k ambapo OS mpya inapotoka hilo litarajiwe. Walichoombea radhi ni iOS 8.0.1 ambayo ilikuwa inalenga kufix tatizo lakini badala yake yenyewe ilikuwa na tatizo la network na touch id. Ndio wameomba radhi na...
Wateja wa iPhone 6 na 6Plus wamepata specs za simu hiyo wiki moja kabla ya simu kutoka kwenye Keynote rasmi. Na info hizo ziko wazi kenywe mtandao wa Apple. Na hata GSMArena hawawezi kutoa specs zitakazosaidia kujua kupinda au kutokupinda kwa iPhone!
Ahsante kwa kufatilia ninayoandika. Na huenda ukawa sahihi kwamba nina kiasi fulani cha ushabiki. Hata hivyo mimi binafsi siamini, katu siamini kwamba iPhone 6 Plus inapinda unapoiweka mfuko wa mbele bila ya kuikalia. Sababu ya kusema hivyo ni kwamba nilibahatika kuipata simu hiyo siku ya pili...
APPLE WACHOMOA UBORESHAJI WA IOS 8.01
Wiki moja baada ya kutoa iOS 8 Apple wamelazimika kuboresha (update) OS hiyo na kutoa iOS8.01, lengo la uboreshwaji huo lilikuwa ni kuondoa baadhi ya matatizo yaliyojitokeza kwenye iOS 8, ikiwa ni pamoja na simu na iPad mbali mbali kupoteza mtandao wa...
Kwani Note 4 ina nini jipya zaidi ya fremu ya aluminium badala ya plastiki? What sort of proof do you want?
Nikipata muda nitakuletea several comparison and between the two. Naamini comparison hiyo itatoa jibu lako
Jibu lako ni neno moja tu: Sensationalism, wewe hujiulizi kwa nini mtu ukalie simu kubwa namna hii? Hebu ni nani kati yetu anakalia Samsung Galaxy Note au SOxy Xperia Z Ultra?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.