Unachokitafuta lazima kiliwe, na kuliwa kwenyewe ndio starehe; kuna vitabu vimebainisha, mwanamke ni chombo cha starehe; kama hujajipanga usiende kwenye starehe.
Lakini kujitesa hapa duniani bila kustarehe piani tatizo; tunaishi mara moja. Ata uchumi unaoutafuta utauacha.
Chukulia mfano una miaka 75 umelazwa, vijana wako wote 15 wako na wewe pale na wamepanda hewani na kila mmoja ana mishe zake huko duniani; hapo utajisikiaje?
Usijitese sana wakati tunaishi mara moja, kula kunywa furahi; ata ukirithisha viwanda vya magari haitakusaidia kurudi kwenye uhai, timiza kile unachoona ni muhimu kwako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.