Dr Peter Slaa, usije ukadhubutu ku boycot bunge, utakuwa umewapa zawadi kama ile ya Maalim kutuitambua serikali ya Amani, mpaka mwaka wa mwisho wa amani maalim alivutwa pembeni, akapewa mfupa, sasa mambo poa znz, lakini kwa miaka 9 amani alifanya alichokitaka.
Dr kama vipi wewe ni binadamu...
we nenda kwa wamasai lakini sio wahuni, mwambie olpinas, tumia kila siku kama chai, balaa yake usiache, ukiacha tu siku 3 basi kama mke utajikojolea kutwa, kama mume utachana suruali, haina adabu, usiache. hakikisha ni OLPINAS original
wahindi hawana makosa, tutalaumu wahindi, na baadae wakenya, baadae waarabu, baadae wazungu. tatizo lipo katika nchi yetu, kwanza tukubali sisi ndio problem
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.