Wanalalaje njaaa? Tunatengeneza Taifa legelege ambali kutumia akili ni hakuna, Uchuuzi unaoigwa cira kokote kule, moja ya sababu ni kuwafanya raia wawe crative.
Ndio maana kwenye uzalishaji hakuna kitu kila mtu ndoto zake ni kumilik Frame
Wanaingiza viapato kwao au kwa Serikali? Hapo wana toa pia somo, watoto wakimaliza shule wanatamani kuwa wachuuzi pia. Nchi hii ni ya ajanu mno, hawa hawawezi enda Kenya mkuu make kule mamlaka hazisapoti uchuuzi.
Lazima wawe wahanga kwa sababu kwanza ni wapumbavu, na pili wanahamasisha uchuuzu, si bure watoto wakimaliza shule wanawaza kuwa wachuuzi. wanajifunza toka kwa walimu wao.
Taifa limekuwa la kichuuzu hili
Serikali wapi? kwanza nchi tu Raia wake wana mentality za kichuuzi, achilia mbalia Serikali. Sasa njoo kwa Serikali inayo sapoti uchuuzi.
Hawa hawawezi enda Rwanda kwa kagame wala hapo Kenya. Kwa kifupi Africa nzima ni Tanzania ndio ina Serikali inayo sapoti uchuuzi. Nchi nyingine zina piga...
Na wanakimbilia Tanzania kwa sababu wanajua ndio nchi ambayo Serikali yake inahamaisha Uchuuzi.
Hawawezi enda Rwanda wala Kenya,kwa kifupu ni wanakimbilia pale ambapo wanajua Mamlaka zina sapoti uchuuzi.
Nchi ya kichuuzi si bure nchi imejaaa Frame,manina zake. Ni Taifa pekee ambalo kila mtu akiwa na pesa ana waza kutafuta Frame. Miji imejaaa frame za kuchuuza products za kutoka China na kwingineko.
Serikali yenyewe inahamasisha umachina, lazima Frame ziwe nyingi na itafika wakati tutakuwa na...
Mexco ni kwenye mitaa ya wauza unga, kama wewe sio police na wala sio muuza unga haaana shida na wewe, Sasa South tu mambo ya kuchukuliana wanawake hii ni kosa kubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.