Naomba kujua hasa kuhusu hii course ya BsC in Environmental Engineering inayotolewa hapa ARDHI UNIVERSITY (zamani UCLAS).
Kwa hapa bongo ni kazi gani hasa hawa watu wanafanya na vipi kuhusu market yake hapa tanzania(je inalipa?).ipi tofauti kati ya Civil engineer na Environmental engineer maana...
Mi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chuo cha ARDHI university zamani UCLAS.
Nataka kuomba scholarship ya kwenda kusoma nje kwa coz tofauti na ya sasa ninayosoma.
Kwa sasa nasoma BsC in Environmental Engineering.
Napenda kusomea medicine.
Sasa nataka kujua kama naweza ku aply kwa...
Kuna dogo hapa kachaguliwa to parsue BACHELOR OF SCIENCE IN ENVIRONMENTAL ENGENEERING at ARDHI UNIVERSITY.
So shida yangu,nataka kujua 1. hii coz inahusika na nini hasa ,2.mtu aliye graduate coz hii anafanya kazi zipi,3.ina position gani katika soko la ajira tanzania,4.wat about ts salary...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.