Hali inavyo onekana mpaka muda huu Putin yuko katika hali tete kuliko muda wote alio kaa madarakani.
History haichi kufuata mkondo wake, Russia imekuwa katika mapindunzi huko nyuma, kizazi kinajua hilo, kuwasaulisha wananchi kwa kuwanyima haki zao za msingi wa kuwa huru ni kufukia kichwa...
You out of chain dude. Muda ukifika wa kuiacha hii dunia utaondoka tu. Where is all kings, where’s all president before us , where’s your own fore-elder who become before you. Walikuwa wazembe? Jikwamue kimawazo, akili unayo
Kila nafsi itaonja mauti. He was surrounded with enemies. Hata kumaliza term ya kwanza Mungu alimpigania sana. Cha mhimu ni kwamba ameonyesha watanganyika kuwa tunaweza
She should began to highlight the original sin…the beginning of dictatorship who you called her grandfather….and then points to the others who she think they did wrong to her interest and her family period! She is not even madam…spinster
Simply she should looks on mirror and see what her father did to slaughtered innocent children and women Arabs , check on this youtube clip “Arabs massacres in Zanzibar” bahati mbaya sana aliyefanya mauaji ya baba yake alifanya kosa kubakiza ukoo huu angefutilia mbali wote. Lakini kwa baraka...
Huu ni mradi wa mchina? Ni wa miaka Mia moja ya umiliki? Huu ni mradi wako, hela ya kodi na lazima uidai kwa maendeleo ya Tanzania. Sasa wewe unaye sema tufanye research wewe umefanya ipi?
Inasikitisha sana kuona rais ambaye ni muisalam ambaye anashinda kutwa nzima amefunika kichwa chake huko China kuna kabila la Uyghurs ambalo wamesema ni haki yako kuabudi uislam wote wamekusanywa na kuwekwa kwenye concentration camp, shame on us!
Hela ndiyo zinaabudiwa kuliko hata imani raisi...
Warning
Maghufuli asiwe naïve na hila za Makonda za kujifanya ni mtu anayempenda Mungu kwa uraghai(si hukumu mtu ila naona)...legho la Makonda ni kufika juu kimadaraka hata yeye mwenyewe hajui atafikaje hapo, ila jamaa anajua kusoma wakubwa wanapenda nini wapewe (and always he deliver on...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.