Farmer
Maelezo yaliyo wekwa hapa na Lunyungu ni kweli tu na yes mimi niko hapa .Mama Mvura ni shida kubwa sana hapa kazini .Nadhani she is always acting with stupidity na maisha ya u single maana hatuelewi akili aliyo nayo.Kama mnaweza kusaidia ni muhimu mkasaidia kwa kuwa huyu na DC walileta...
Diwani anani habarisha kwamba kata za Mburahati,Kibamba ,Makuburi, na Tandale mradi wao una anza soon so ina maana Lunyungu uko kwenye line sasa .CCM hao
Nchi yangu ina mizengwe ? Nini maana ya tukio hili?Kuwasafisha takukuru ama kuna move gani hapa ? Fungueni macho na akili maana any move done by CCM ina manufa kwa ukoo wao .Msilale hadi kieleweke
Hapa Wilayani sisi tunafanya kazi na boss huyu tunayajua mengi sana.Pamoja na kushiriki matukio kama haya lakini yeye ni kama Mkurugenzi wa Mgodi .Tunajiuliza nguvu hizi anazipata wapi , lakini inawezekana analinda interest za Mzee JK si kawaida hii .
Huyu Mama amepewa gari la kampuni tunaona...
Hii issue iko wazi kama kuna mtu wa kufuatilia nadhani anaweza tu .Nime elewa hivi .Kumetokea matukio 2 tofauti na yote Mama Mvura amekuwa involved.La kuomba rushwa alitaka wakale na DC likaleta shida .
Baadaye kumetokea wizi mkubwa , tena Mvura akadakwa nadhani hata bwana mkubwa mgodini...
Ndugu waTanzania salaaam, Siku ya Jumamosi jioni Balozi wetu wa nchi za BENELUX (Belgium, Netherlands and Luxemburg) Ndugu Simon Mlay alikutana na waTanzania katika Hoteli ya Crowne Plaza, The Hague. Kwa wale tulioudhulia mjumuiko huo, tutakubaliana kabisa kuwa Balozi wetu alitupokea kwa furaha...
Neno kujiuzulu ni msamiati mkubwa sana kwa waafrika wa Afrika .Yeye anaweza kuwaza haya je mkubwa wake ambaye ndiye anayembeba ataweza kukubali ? Kujiondoa namna hii itakuwa kusaidia CCM lakini wao wanadhani atakuwa anakimaliza Chama ambacho ni namba moja kwa JK na kundi lake .
Mkuu Kiburi cha Ballali ni kikubwa zaidi ya Chenge .Ballali yeye mapesa yale walichukua wakaingia madarakani .Chenge yeye katuibia na kutuuza tifautisha hapa .
Watu wanafanya unazi kabisa .Nashangaa wanaishindwa kuona kwamba Seif had a trip planned prior NEC ya Butiama .Lakini pia mnalaumu sana kwamba Arudi kwa wananchi kuishitako CCM .Wamesha fanya tayari na kusema wanajitoa mlitaka ashitaki mara ngapi ? CCM wanasema shauri lirudi kwa wananchi mbona...
Siku nimelamishwa kukimbia na cheque ya 100m siku zile Rostam anagombea Igunga uchaguzi wa Marudio , jana yake serikali ilisema haitumii pesa za walipa katika kusaidia CCM next day ikatokea chini ya Mwinyi kumsaidia Rostam kule igunga nilijiondoa kazini hata leo niko naishi lakini nilikataa...
na Happiness Katabazi
TUHUMA za ufisadi zilizosambazwa katika mtandao wa intaneti zikimlenga Spika wa Bunge, Samuel Sitta, zimesababisha Ofisi ya Bunge kuanzisha uchunguzi dhidi ya kiongozi huyo wa juu wa mamlaka hiyo ya dola.
Taarifa za kuanza kwa uchunguzi huo zilitangazwa na Katibu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.