Gharama halisi za kuunganishiwa umeme zilizoidhinishwa na mdhibiti (EWURA): Mijini ni
Gharama za kuunganisha umeme mjini ndani ya mita 30 kwa mteja wa njia moja (single phase) kutoka kwenye miundombinu ya umeme ni shilingi 320,960/=
Mteja wa njia moja (single phase) ndani ya mita 70 kutoka...
Mkuu alichouliza ni swali rahisi tu ' wala si kwamba halijibiki .
Ni vile sikuwa active tu.
~nilitoa maelezo mafupi ili muhitaji haswa akiuliza swali nimdadavulie kwa maelezo binafsi , lengo ikiwa ni kuto toa ufafanuzi kwa asie na uhitaji thabiti ...
Mkuu pia mi ni Computer science Eng .
~hapo ni kwamba sikutoa maelezo kwa upana zaidi
ni inbox mawasiliano yako ni dadavue kiundani zaidi mkuu ikiwa unaihitaji haswa.
~Husika na Somo tajwa
Aina: DELL
Model: 630
RAM: 3GB
HDD: 80GB
Display: 13inch
USB PORT: 4
HDMI: 1
VGA: 1
JACK: 3.5mm
Wireless: yes
Na sifa nyinginezo kibao '
~Price 250k ( 250,000 )
NB: Inafaa kwa matumizi yote ' ipo katika hali nzuri as New
Na haina tatizo lolote
Mawasiliano...
Mimi ni Dereva , mwenye leseni pia ni Mtaalam wa Matatizo ya Gari.
Yeyote mwenye uhitaji wa Dereva wa Gari yake nipo Tayari kufanya nae kazi .
Nna uzoefu wa miaka 8 wa udereva na uzoefu wa miaka 6 wa Matengenezo ya Magari .
Taaluma zote mbili za Udereva na matengenezo ya Magari nimesoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.