JIFUNZE KUANDAA ANDIKO LA MRADI.
(SOMO LA MSINGI)
MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA MUUNDO WA ANDIKO LA MRADI NA TAARIFA ZA MSINGI KUHUSU ANDIKO LA MRADI
Je, unaweza kuandika kwa ufupi mambo ya msingi yahusuyo mradi wako? ambayo yanaweza kusomeka kwa wepesi na haraka? yanayoweza kueleweka baina ya...
Binafsi nimepitia mapendekezo yenu kama member na kuona kila mmoja anagyoweza kutoa kile anachokipenda kulingana na ifahamu wake.
Ila kama darasa ni muhimu kujua yafuatayo:
1. kazi ya kila tunda au kile kinachoweza kutumika katika uandaaji wa juice.
2. kiwango au kipimo cha kila tunda katika...
Mashine nzuri ya kutotoleshea vifaranga vya kuku na bata. inauwezo wa kubeba mayai 1056. ni nzima na inafanya kazi vizuri. bei yake ni 1,800,000/= kwa mawasiliano piga simu 0787220120
Wadau kuna member yeyote humu anayejua biashara ya uuzaji wa account za Instagram au Twitter? Kama yupo naomba elimu ya ufahamu kidogo. Kwa Muuzaji Anicheki WhatsApp: 0787220120
Habari wadau, hivi nawezaje kuwapata Azam TV Call Center au Huduma kwa wateja? Nimeuliza hivyo kwa maana kila ninapo jaribu kuwapigia kwa namba zao zilizowekwa inachukua muda mrefu sana kusubiria hewani bila kupokelewa. Tafadhari kama kuna mdau mwenye namba nyingine naomba anitumie zaidi ya hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.