Search results

  1. MrPhilosopher Kanju

    Ugonjwa wa NIMONIA una tiba?

    Wakuu poleni majukumu. Wakuu naombeni msaada kwenye jambo hili kwa wataalumu wa magonjwa hususani kwa watoto. Naombeni kufahamu kwamba Je NIMONIA ina tiba? Kama tiba ipo je mtoto wa mwaka mmoja atapewa tiba gani na Dawa zipi ambazo zina uwezo wa kumuondolea ugonjwa wa NIMONIA unao...
  2. MrPhilosopher Kanju

    Wahitimu wa Vyuo Vikuu Tanzania na mtazamo hasi dhidi ya ajira na kujiajiri

    MTAZAMO HASI WA WAHITIMU WA VYUO VIKUU TANZANIA NA TATIZO LA AJIRA TANZANIA, NI NINI KIFANYIKE NA SULUHISHO LA TATIZO HILO NI LIPI? NA, MrPhilosopher Kanju-MPK. KISEMVULE, TANZANIA 10.02.2022 Nchini Tanzania kumekuwa na wimbi kubwa sana la wahitimu wengi wa vyuo vikuu na watimu hao baada ya...
  3. MrPhilosopher Kanju

    Fahamu uongo na ukweli katika muktadha wa maisha ya kawaida

    UKWELI NA UONGO KATIKA MUKTADHA WA MAISHA YA KAWAIDA, NA NI IPI NAFASI YA UKWELI KATIKA MUKTADHA WA MAISHA YA KAWAIDA NA NI IPI NAFASI YA UONGO KATIKA MUKTADHA WA MAISHA YA KAWAIDA. Na, MrPhilosopher Kanju. Ukweli ni hali ya kuweka wazi ili kutambulika kwa kitu kilicho fichika. Na ukweli...
  4. MrPhilosopher Kanju

    Naomba kujuzwa chanzo cha tatizo la kipanda uso na suluhisho lake

    Wakuu poleni na majukumu ya kikazi. Naombeni msaada wakuu wangu hivi tatizo la kipanda uso linasababishwa na nini? Na je kuna tiba ya kuliondosha tatizo hilo? Mwenye kujua naombeni msaada wakuu wangu.
  5. MrPhilosopher Kanju

    Fahamu nadharia ya Kanju ya uchaguzi katika nchi za kidemokrasia

    KANJU’S THEORY OF ELECTION IN DEMOCRATIC STATES / NADHARIA YA KANJU YA UCHAGUZI KATIKA NCHI ZA KIDEMOKRASIA Mimi swaibu Kanju (MrPhilosopher Kanju) nimeona leo tarehe 04/09/2020 niandike nadharia hii ya uchaguzi katika katika nchi ya kidemokrasia. Lengo la nadharia hii ni kutoa mtazamo wangu...
  6. MrPhilosopher Kanju

    Fahamu nadharia ya Kanju ya uchaguzi katika nchi za kidemokrasia

    KANJU’S THEORY OF ELECTION IN DEMOCRATIC STATES / NADHARIA YA KANJU YA UCHAGUZI KATIKA NCHI ZA KIDEMOKRASIA Mimi swaibu Kanju (MrPhilosopher Kanju) nimeona leo tarehe 04/09/2020 niandike nadharia hii ya uchaguzi katika katika nchi ya kidemokrasia. Lengo la nadharia hii ni kutoa mtazamo wangu...
  7. MrPhilosopher Kanju

    Fahamu kuhusu kukomaa kiakili

    JE UKOMAVU WA KIAKILI NI NINI? SABABU ZINAZO PELEKEA MTU KUKOMAA KIAKILI, SABABU ZINAZO PELEKEA MTU KUSHINDWA KUKOMAA KIAKILI, JE UNAWEZAJE KUMTAMBUA MTU ALIYEKOMAA KIAKILI. NA, Mr PHILOSOPHER KANJU Je ukomavu wa kiakili ni nini? Ukomavu wa kiakili ni hali ya akili kufikia kipimo cha kujua kwa...
Back
Top Bottom