Wakuu poleni majukumu.
Wakuu naombeni msaada kwenye jambo hili kwa wataalumu wa magonjwa hususani kwa watoto.
Naombeni kufahamu kwamba Je NIMONIA ina tiba?
Kama tiba ipo je mtoto wa mwaka mmoja atapewa tiba gani na Dawa zipi ambazo zina uwezo wa kumuondolea ugonjwa wa NIMONIA unao...
Dada Neema. Niseme kwamba yaani umenirahusishia kutoa ufafanuzi wa uzi wangu kama nilivyo lenga. Maarifa tu uliyoyapata kupitia chuo ni makubwa sana na ukiyatumia vizuri yanaweza kukubadilishia maisha nje ya kuajiriwa. Shukrani sana Dada yangu.
Dahhh mkuu umetoa ushauri mzuri sana ni jukumu la serikali kupokea mapendekezo na ushauri unaotolewa na vijana kama huu uliotoa mkuu. Noted mkuu[emoji419]
Kwa hiyo mkuu Serikali kufanya hivyo je vijana wabweteke? Na je unawashaurije vijana? Maana ndio serikali imeamua hivyo na hakuna suluhisho kutoka serikalini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.