DIvision four ndo waombe u polisi
"Simbachawene"
Badala ya kujibu hoja ni sheria ipi wewe unakuja na porojo, jambo likifanywa na watu wengi halafu ni kosa, halihalishi ubaya wake.
Gari kutoa moshi mweupe hapo kuna gasket zinavuja oil inachanganyikana na mafuta. Au coolant inavuja. Au fuel injector imekufa hivo kupelekea gari kutumia mafuta mengi kwa umbali mdogo.
Mkuu angalia balance ya upepo pia. Kama moja ya tyre ina pressure kubwa kuliko nyingine hilo tatizo haliepukiki.
Mimi nimekosa muda wa kuziba moja ya tyre langu hilo tatizo nakutana nalo kila baada ya siku tatu. Nikibalance upepo natembea vema kabisa kama niko na Range.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.