Kwema?
Goba kuna chimbo gani ninapoweza kwenda kula na kunywa nikaridhika?
Chimbo liwe na watoto ili wakati nakula nakunywa wakipitapita niwe napata raha.
Ni Biashara ipi inayopatikana kariakoo ina faida kubwa kwa mfanyabiashara mdogo mwenye mtaji mdogo?
Mtaji wa laki moja hadi laki tano.
Na ieleweke sio lazima biashara ya kuuza iwe kariakoo yawezekana kufanyika kariakoo au kwingine ila biashara ya manunuzi ndio lazima iwe kariakoo
Wasalaam wakuu......
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza waungwana naomba kujuzwa Ada kwa vyuo vikuu vya serikali ni kiasi gani kwa undergraduate degree program yaani ile tunasemaga digrii
Juzi tu nimetoka tabora
Ni baada ya kitambo kirefu Nimekuta tabora imebadilika
Katika sehemu zote nyingi za starehe Terrace lounge imekaa uzuri sana
Pale ni pazuri na pana hadhi nzuri
Kuna kila aina ya burudani unayotaka
Na vibe la maana mimi nilijikuta naondoka kwenye lodge kuchukua mizigo...
Naomba tupeane location za bata kwa dar
Cha msingi kuwe na kila kitu namaanisha kuwe na kila bata
Popote tutakula bata
Mods kwanini mnafuta uzi kama hapa ni sehemu ya "where we dare to talk openly"? Au sababu ya kuulizia watu wanaosoma? Haya sijawaulizia kwenye huu uzi naomba msiutoe ili na...
Nafsi yangu inanituma kuoa baada ya kupitia maisha yenye karibu kila sura na nimempata binti mzuri wa sura na nafsi ambaye pamoja na ujinga na uchafu wangu amekua na mimi kwa takribani miaka miwili sasa ninawiwa kumuoa
•Ninaomba msaada kwa wazoefu ninahitaji kufanya taratibu zipi za kimila...
Waungwana kwema?
Wale wa kataa ndoa endeleeni ninawatia moyo ili mtafute amani yenu na sisi tunaotaka kuoa tuwe makini kuchagua na wenye majukumu ya kitaifa tunawatia moyo
Ninaulizia sehemu nzuri ambayo ina hadhi ambapo ninaweza mpeleka manzi kwa ajili ya dinner kwa gharama isiyozidi 50000...
NIFANYE NINI?
Ninashawishika sana kuanza tena kununua malaya-Dua zenu wadau
Imekua kitambo kidogo tangu nilete hapa uzi wa kuacha kununua malaya ila cha ajabu nimeanza kua tempted
Sio kwamba sina manzi wa kuwatia,manzi ninao watatu ambao nikinyanyua sim nataka game leo au sasa hivi wanakuja...
Kwema watu wa ulimwengu?
Wapi nitapata buffee kwa Mwanza na Dar mahali ambako nitaenda kulipa pesa na kula ninavyotaka? Namaanisha nikishalipa naruhusiwa kula chochote isipokua kubeba tu.
NB: Kama haujui kama mimi soma comments majuvi watusaidie, hii siyo thread ya story.
Wasalaam wakuu,
Niko katika harakati za kutafuta mtu wa kuishi naye maisha yote nitakayoishi kwenye hii sayari. Kuna huyu dada anatanganza Morning Trumpet wa Azam TV, ana sura nzuri, rangi safi na zaidi umbo lake linanimaliza. Naulizia kaolewa, na kama bado nampataje?
Popote ulipo Hilda Phoya...
Natumaini ni kwema wakuu.....
Naomba kujua machimbo ambapo naweza kua napata jezi mipira na viatu vya michezo pamoja na vifaa vingine hasa vya mpira wa miguu.
Natamani kufahamu kule wanakonunua wanaouza rejereja Kariakoo manake naamini wananunua humohumo ila ndio sipajui kwa sababu kila...
Wakuu natumaini tuko salama na shughuli za kila siku
Usichoke kusoma....
Niliwaza kuja na ID mpya ila nikakataa sababu wanaonifahamu ni wawili tu hapa na tulifahamiana hapahapa
Kitambo nilikua na date wadada kama kawaida nikawa naleta mapenzi ya filipino hapa tanzania nikakutana na muirak na...
Niko katika research yangu ya gari nzuri kwa sababu si muda mwingi nitamiliki.
Nimeitazama hii Mitsubishi Outlander imenivutia kimuonekano na uwezo wake wa kubeba raia kwa maana ya wingi wa seat.
Yapi mapungufu yake na changamoto zake?
Je hiyo amount iliyowekwa hapo ambayo imeeleza kuhusu clearing na forwarding ni tofauti na ile ya TRA? Maana yake ukitoka hapo ndio unaenda TRA tena?
Mungu tusaidie sisi watanzania wenye ndoto za kumiliki magari.
Chuma hiki
Hyundai Azera 2017-2021
Nina matarajio within 5-7 years kua na usafiri huu wa chuma hiki hyundai azera
Baada ya kuifuatilia nimeona machache kwa wadau kama haya hapa
Kwanza ni sport car ambayo ni affordable(sportcar ni stable)
Ni chuma kwelikweli
Iko vizuri kwenye mwendo
Ina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.