Hivi hii system ya TRA ya efiling kuzingua hivi ni njia moja wapo ya wao kupiga hela au??hii system yao sijawahi iona iko stable hata siku moja.
Wadau mnafanyaje huko?
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Hivi,kuna njia yoyote unaweza fanya ili uweze kukumbuka ndoto uliyoota??
Au technologically kuweza kuirecord??
I think kuna kitu kikubwa sana kwenye ndoto.
Guys if unajijua huna kitu unaenda bar kufanya nini??
Maparasite mmezide aisee,mtu unatoka na kilaki ila unakutana na viparasite inaboa sana..
Ndo hivyo huwezi kumyima mtu,guys tubadilike,kuomba bia sio ishu kabisa...
Karibuni tumoke,mbezi beach ...s.la..
Aisee nimetimiza week now bila kupiga kilevi chochote,
Maisha bila bia yanawezekana..
Namshkuru mungu sana kwa hili,maana ilikuwa hakuna weekend wala weekday,ilikuwa kila siku weekend.
Now jioni napoteza mda na movies tu..
Wakuu tupeane njia za kuacha kabisa hii kitu if ipo.
....
NAMCHUKIA SANA MKE WANGU:
Huyu bwana alipofika nyumbani kwake akitokea kazini,akaangalia simu yake akaona inaita,kuchek kumbe ni namba ya mkewe na wakati huo wanaangaliana maana ameshafika ndani,mkewe yuko kwenye kochi sebuleni.
"Aaah sasa mbona unanipigia wakati nishafika mke wangu!"
"Wewe...
Habarini za asubuhi,
Hivi kuna mtu yeyote imeshawahi mkuta una girl wako alafu hana hisia kabisa?
Alafu mnamipango ya kufunga ndoa,tuongee ukweli kwetu wanaume,tunaweza funga ndoa na mtu wa hivyo??
Na hii inaweza ikawa inasababishwa na nini??
Kuna girls wanatia huruma sana.
Habari zenu wakuu,
Niende moja kwa moja kwenye mada, hivi wanaume na wanawake.
Nipo kwenye mahusiano na mabinti wawili warembo sana, mmoja nimemzidi mwaka mmoja ni mwajiriwa na mwingine mdogo anasoma nimemzidi miaka 6.
Nashindwa kuamua nibaki na yupi na hata hivyo kumwacha mwanamke nashindwa...
Wakuu habari zenu,
Kama kichwa cha habari kilivyojieleza,yani huwa sitoki jasho kabisa wakuu,mfano naweza nikawa na tembea au kufanya chochote cha kutoka jasho na watu,wenzangu wote utakuta wanachuruzika jasho,ila mimi mkavu kama sijafanya lolote.
Shida itakuwa nini hapa wakuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.