Mnafanyia kazi gani nyie wapumbavu??tangu juzi?hii ni karne ya 21!!mmeturudisha nyuma wajinga nyie!! samaki wote wameoza nyama yote imeoza!!nyie ni wapumbavu sana narudia tena nyie ni wajinga sana!!
Habari wanajukwaa,
Kwa masikitiko nimepata habari ya kifo cha huyu mamangu Mama Mwambenja (mkurugenzi mtendaji wa iliyokuwa Covenant Bank).
Nilikuwa nafanya kazi zake na nahitaji kuziwakilisha kwa ndugu zake au mtu wake wa karibu, kwa yeyote mwenye contact na ndugu yeyote tafadhali naomba...
ooh kweli..??atleast basi walichukulie kwa uzito..maana watatuua hawa wajinga mbaya zaid mpaka wazungu wanatoka..mimi aliyenishirkisha hili swala ni mpishi wa FQ nikafanya uchukunguzi bar yajirani wao walikiri kwamba ni kweli wanaenda pale.
Heshima kwenu,
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Kama mwananchi kuna jambo limekuwa likiniumiza sana. Serikali walitenga baadhi ya hoteli kwa ajili ya watu wanaotoka nje kukaa huku wakichunguzwa ugonjwa wa Corona, moja wapo wa hoteli zilizotengwa ni FQ village iko Ukonga Stakishari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.