Wana bodi salaam,
Kwa yanayoendelea nchini kwasasa kukaa kimya ni kuunga mkono unafiki.
Nianze kwa kuwapongeza watanzania wote wanaomuunga mkono Rais Magufuli katika vita ya kupambana na wanafiki na mafisadi kwani hatupaswi kukaa kimya bila kumpa nguvu. Mafisadi na wanafiki wamekuwa wakitumia...
Salaam wana bodi,
Baada ya kusikiliza hotuba ya Rais John Pombe Magufuli aliyoitoa baada ya kuwaapisha Waziri Bashungwa, RAS Kichere na CG TRA nimebaini kwamba bado viongozi wetu wakuu hawajamuelewa Rais Magufuli dhamira yake ni nini.
Leo Rais Magufuli kaongea kwa uchungu mkubwa na ukali...
Wakuu salaam,
Ni takribani miaka mitatu sasa tangu Dkt. Magufuli awe Rais wa Tanzania. Hakika ushindi wa Magufuli lilikuwa pigo kubwa sana kwa wasioitakia mema nchi yetu. Katika kipindi chake cha urais ambacho bado anakitumikia, Dkt. Magufuli amejitanabaisha kwa umma wa watanzania na ulimwengu...
Salaam wana bodi,
Tangu Mheshimiwa Tundu Lissu adhuriwe huko Dodoma na hatimaye kupelekwa Mjini Nairobi-Kenya, kumekuwepo na mijadala, mivutano na malumbano mengi sana juu ya namna suala hili linavyoshughulikiwa.
Kwa siku za hivi karibuni CHADEMA imekuwa ikiongeza kasi ya kuhamasisha...
Wasalaam,
Katika ziara za kikazi Rais John Magufuli alizozifanya Singida na Shinyanga-Kahama, tumeshuhudia viongozi wa vyama vya upinzani wa ngazi za vijiji, mitaa na kata wakijitojeza na kutangaza hadharani kumuunga mkono Rais John Magufuli...
Hali hiyo haiashirii ushwari ndani ya CHADEMA na...
Tangu Rais Magufuli aingie madarakani Octoba, 2015 ameonekana kutekeleza matakwa ya wafanyakazi wa Tanzania.
Wafanyakazi kipitia umoja wetu wa TUCTA tumekuwa tukipigia kelele Serikali kufanyia kazi mambo yafuatayo:-
1. Watumishi hewa: Tumesema watumishi hewa ni jipu na likitumbuliwa fedha...
Katika mahojiano yake na Azam TV Babu Duni ambaye juzi amerudi CUF amesema kuwa ndani ya CHADEMA kila mtu ni kambale.
Babu Duni amesema kwamba kuna bureaucracy kubwa sana ndani ya CHADEMA kiasi kwamba agizo linalotoka juu ngazi ya Taifa linaweza kukataliwa na ngazi ya jimbo kwakuwa kila mtu ana...
Ndugu zangu baada ya Rais Kikwete kuteua ma-RC kumekuwepo mjadala wa kofia 2 za uongozi wakati kuna vijana wengi hawana kazi na wamemaliza vyuo vikuu.Hivi kwanini lawama hizi zielekezwe kwa viongozi wa serikali pekee wakati wapo hata wanasiasa wengine wamejilimkizia vyeo?.Nitachukua case study 1...
Ndg. Zangu nimeamua kuandika hapa ili tuone tutawasaidia vipi vijana wa K'KOO MTAA WA MZIZIMA-BONDENI.Juzi nilishangaa kuwaona baadhi ya wabunge wakilia kutokana na athari za madawa ya kulevya hapa nchini.Hakika nimejionea live bila chenga kwa kuona vijana wakitumia madawa hayo na bangi kwao ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.