Tatizo lako ndugu ni ukosefu wa mlo kamili.Yaan wewe na vyeti feki ni kama hawara wa mama yako unavyomchukia.Pia nahisi hata maana ya vyeti feki huijui kutokana na utapiamlo unaokusibu.
Ifike hatua uone aibu,
Naongea hivi kutokana na mada zako nyingi umekuwa unaonesha hasira dhidi ya hawa ndugu...
Wilaya ya Magu iliyopo Mkoani Mwanza leo trh 02/10/2022 inafanya uchaguzi wake wa kuwapata viongozi wa CCM.
Kama ilivyo desturi ya ccm, Mwenyekiti aliyemaliza muda wake ndg Zabron amepewa muda wa kuwashukuru wajumbe wa Mkutano Mkuu na kuombwa na msimamizi wa uchaguzi avunje rasmi iliyokuwa...
P,unajulikana kama kada mtiigu wa ccm,na mgombea uliyetia nia na kutupiliwa mbali kwa tabia zako za kujipendekeza,Nijibu swali hili ili baadae nichangie hoja yako?1.HIVI MABEBERU YALIYOMTUMA LISU KUJA KUGOMBEA URAIS NI YAPI?
2.HIVI LISU KULE UBELGIJI ALIENDA KUFANYA NINI?
3.HIVI NI KWELI TUKO...
Ila jamani ni kwa nn chadema hawaanzishi media yao? Kuna nn, ina maana hili suala siyo kipaumbele chao? Miaka nenda miaka rudi wananyanyaswa wapo tu. Any way kwao ni sawa tu,Sasa wasilalamike .
WAJUMBE SIYO WATU,NI NYOKA WA NDIMI TATU.Nashauri kwa Ngazi za maamuzi ziteue Mjumbe miongoni mwa waliopata sifuri ndo jina lirudi ili iwe fundisho kwa wimbi la WATOA RUSHWA na WALA RUSHWA WAO@wajumbe.Vinginevyo wenye pesa wataendelea na mchezo huu milele.
Mtoa Mara uko sawa kabisa,ila hofu yangu ni utekelezaji,Binafsi nashindwa kuelewa kama viongozi wetu wanakiona kinachoendelea kwa wenzetu wa Dunia ya kwanza.Nakuunga mkono kwa maana ya kwamba vita hii ni kuwa kuliko ile ya kwanza na ya pili.Kibaya zaidi vita hii adui haonekani kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.