Hallo wanajamii ninaomba mtu yeyote ambaye anaweza kunipatatia mtama mwekundu kwa kiasi cha kila derivery tani kumi anipe bei ya pale alipo kwa kilo moja. Asanteni sana kwa walio serious piga 0764312429. God bless.
Asante sana kwa ushauri kaka zangu ushauri hapo juu ni wa busara na kitaalam zaidi hasa kwa kuzingatia mambo ya ownership ila kaka kwenye mradi huu hakuna limitation ya muda kwani huyu bwana ndo ametoa idea ya ushirikiano baada yakumwambia kuwa sina papers.
It sound easy lakini kaka mara...
Wakuu habari za miangaiko mimi ni kijana mwenye shahada ya mazingira ( Bachelor of Science in Environmental Management) baada ya kusaga sana viatu kutafuta ajira nikajikuta nakuwa na wazo la kujiari na kuajiri wengine pia. Asante kwa mitandao ya siku hizi! nilipoweka idea yangu na profile...
Wakuu habari za miangaiko mimi ni kijana mwenye shahada ya mazingira ( Bachelor of Science in Environmental Management) baada ya kusaga sana viatu kutafuta ajira nikajikuta nakuwa na wazo la kujiari na kuajiri wengine pia. Asante kwa mitandao ya siku hizi! nilipoweka idea yangu na profile yangu...
Hi wanajamvi badala ya kusaga viatu kutafuta vibarua tupo hapa Ngara tumeamua kujiajili katika sekta ya viwanda vidogo kama wajasiliamali tunaomba kama kuna mtu anaweza kutusupply fats ( mafuta ya mawese) hapa Ngara kagera tuwasiliane tupo katika biashara ya saponification. Kwa wenzetu waliopo...
Ndugu wanajamvi jana nimesoma post hapa kuwa nchi yetu inakalibia kufikia kiasi cha kutokopesheka kutokana na inavyokomba pesa kwenye taasisi za fedha! Maskini Mkwele! Napenda kuuliza hapa kwetu kuna sheria inayomlinda raia mwema pindi atoapo taarifa za watu wanaokwepa kodi? na sheria ikoje...
lugha za kiforum wengine tabu hata sijui maana ya pm ila najua ukipata wasaa utasaidia na ndugu yangu wa mwanza serengeti brewer nakushukuru wacha nivute subira.
Tumejaribu web yao ya eabl lakini tunashindwa kupata ipo so loaded na network ya hapa kwetu in shida sana ndo maana tunaomba walio kwenye fastest net watusaidie bandugu.
Hallo wanajamvi sisi ni vijana wa wilaya ya Ngara mkoani Kagera tunaomba yeyote mwenye kuweza kutupa contacts za meneja uhusiano wa serengeti breweries kwa jina la Teddy Mapunda ili tuweze kumwandikia kumuomba ufadhili wa tamasha letu la vijana hapa Ngara kwa ajili ya kuhamasishana mambo...
Sisi ni vijana wenye taaluma mbalimbali hapa wilayani ngara kagera kutokana na matatizo mengi yaliyopo hapa wilayani kielimu tumeamua kuunda CBO ambayo lengo lake ni kuanzisha maktaba na maabala kwa ajili ya wanafunzi wa mashule yalipo maeneo ya ngara ili waweze kujiongezea skills na kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.