Ahsante sana kaka kwa hiyo link...aise hali ni mbaya kuliko nilivyofikiria mie....Lakini mie bado nailaumu Serikali na sio hao waarabu...hao waarabu wamepewa kichwa na Serikali...Serikali yetu ingekuwa ina msimamo hao watu wasingekuwa na ubavu walionao sasa...
Habari zenu Ndugu!
Loliondo....Ninavyojua mimi ni kwamba hiyo nafasi wameuziwa waarabu kwa muda wa miaka kadha..wazungu wanasema LEASE...inaweza ikawa ya miaka 10, 20 na hata 99. Nilivyosikia mie ni kwanba ni lease ya miaka 99. Tatizo hapa ni kwamba hawa Waarabu wana mkataba kabisa ulio sainiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.