Ndo hivyo tena, japo CAF wanatamani lile bato la mashabiki wa simba na ahly mitandaoni, kiwanjani timu letu ni bovu kupindukia, ni kama wale asec mimosas tu.
Kuonesha kwamba timu ya SIMBA ni timu iliyobarikiwa na MUNGU kwa kutandaza soka tamu la viwango vya CAF na kuthibitishwa na FIFA,
CAF wameamua kuipanga siku ya ijumaa iwe siku ya mechi pekee ya wanaume watupu (wekundu watupu) SIMBA na AHLY huku mitimu mingine lundo ikipangiwa kucheza siku moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.