Jamani wana JF,Lulu ni mchaga, katu hata siku moja hawa ndugu zangu haswa wanawake wa kichaga hawataki kukua. Haiwezekani atimize miaka 18,leo hii aseme ana miaka 17 mara 16, hao wazazi wake nao wana matatizo, sheria ichukue mkondo wake ili iwe fundisho, kama ni mtoto mdogo mbona ana mambo ya ki...
Big up Mnyima, tunakuaminia kwa kazi nzuri, niliona kazi yako daraja la King'ongo lilivyojengwa faster. Mungu akupiganie ufanye kazi nzuri zaidi na zaidi.Peopleeeeees Powerrrrrrrrrrrrrrrrr forever.:nod:
Hawezi kuongea chochote, pressure inapanda pressure inashuka. Peopleeeeeeeeeeeeeeeeees poweeeeerrrrrrrrrrrrrrrrrrrr mpaka Monduli mvunguni mwa kitanda alikoenda kujificha kwa aibu. SHAME SHAME SHAME kwa CCM na magamba wote
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! jamani jamani inatia hasira, hawa wabunge wanamtishia nani? huyu Ana makinda aka makinda ya ndege anamtishia nani? wabunge wanaotaka kuacha waache, hawa magamba shenzi zao wasitubabaishe kwanza hawana faida hata kidogo kwa nchi yetu, inamaana watanzania wengine hili...
Huyu mama tangu amechaguliwa viti maalumu hajawahi kuongea chochote, leo kutudhihirishia kama sio bubu ameona afungue domo lake kwa kutaka kuichongea JF, Hana jipya huyo
Hawa viongozi wetu wanajali nini, wanajali maslahi yao na mitumbo yao washenzi wakubwa hawa, inatia hasira sana kwa Hospitali kubwa ya Taifa kukosa vitu vya muhimu kama hivyo. Mimi nilikuwa na mgonjwa pale, eti hata maji hakuna mtu unatoka nyumbani na maji kwa ajili ya mgonjwa wako apate kuoga...
Ndugu zangu Watanzania, sawa tukienzi kiswahili ndio Lugha ya Taifa letu. Lakini je tunaangalia upande wa pili? kiswahili kinatupeleka wapi? Hoteli zinafunguliwa nyingi tu,je kama watanzania hawajui Kiingereza itakuwaje?
Mimi hii thread nimeipenda saaaaaaaaaaaaana. Watanzania wenzangu ukweli ni kwamba hawa CCM kwa kuchezea kodi zetu sio kitu cha ajabu kwao. Walichezea hela na kura zetu waliiba ndio maana mpaka leo matatizo yanatuandama. Ole wenu CCM laana ya Mungu itawafuata mpaka kwa vizazi vyenu.
Vipi ****** amepunguza safari nini? au hajapata mwaliko? Anafungua sherehe za miaka 50 ya uhuru kwa lipi alilotufanyia, angejaribu kurekebisha mapungufu yaliyoko ndio azindue hizo sherehe. Washeherekee na magamba wenzake maana ndio hawana la kufanya hata kutatua kero za wananchi kunawashinda...
Hawa viongozi wetu wanashangaza sana, hivi wao sio watu kama sisi wa chini? Mbona Mungu habagui huyu nani na huyu nani? Kupelekwa India au Marekani hakusaidii , waelewe ya kuwa siku ikifika imefika, mbona wengine wakienda kutibiwa huwa hawarudi hai? Huko ni kuchezea kodi zetu bora wangeboresha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.