Zifuatazo ni baadhi ya rejea, zinazoelezea matokeo uliyoyataja.
1. Raising Cain -- Hii video ni ya kuangaliwa na kila mzazi mwenye mtoto wa kiume. Na Kila mwalimu anayefundisha mtoto wa kiume.
2. The War Against Boys: How Misguided Policies are Harming Our Young Men -- Hoja kama uzi huu...
Asante sana. Inawezekana pia mwanzoni mwa miaka ya 80 kisa hicho kiliandikwa upya kwa mtindo wa simulizi, au ilichapishwa upya, na ndipo nilipoisoma. Faraj H. H. Katalambula alikuwa ni prolific writer, na alitoa vitabu na hadithi nyingi.
By the time niko chekechea mpaka 1980 nilikuwa nasoma...
Asanti. Nikumbushe ilipoandikwa hiyo stori ya Uno Maggy... Nakumbuka faintly, Unono alikuwa Meneja or something kwenye shirika la umma, na wazazi wake walipomtafuta kwa jina la Unono (mmojawao akipronounce 'Wunono'), walipata taabu kumpata kwa vile sasa alijitambulisha kama 'Uno Maggy', na...
Tuache upumbavu wa kusema "NDOA NI UVUMILIVU" .... Wanaume wengi wamepoteza kazi, ndoto zao na hata wengine wamelemazwa kabisa kwasababu ya huu upuuzi wa kusema "NDOA NI UVUMILIVU" ..... na kuna wale ambao wameuawa katika ndoa. Ninyi wazazi ambao mnakimbilia kila mara kuwaambia vijana zenu...
Poleni. Aliishi vizuri na watu. Na watu huwa si wajinga, hata ikiwa ni matajiri au wana umaskini wa kipato, huweza kujua mtu anayewathamini utu wao. Waliweza kufanya hayo yote si kwamba wanarudisha fadhila, bali ni sehemu ya kusema asante, na kumuaga mpendwa wao. Juzi tu nimetoka kusikia kisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.