hongera kwa mapambano
kuna mambo kadhaa nimeyaona ambayo ukifanikiwa kuacha itakusaidia
1. acha ku trade
2. ogopa pesa hasa za watu
3. weka malengo na namna yakuyafikia
4. jikumbushe hakuna shortcut inayo last long
asante sana mkuu watu wakikaa nyuma ya keyboards basi wanajiona wanajua kila kitu waswahili husema raha ya ngoma uingie ucheze wanadhani ni rahisi hivyo hawajiulizi ndo maana wengi wanapigwa kupewa ofa nzuri ili akuvute uweke hela then the rest is Mr Kuku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.