wewe ni magamba, post zako zote zinakuonesha hivyo
siwezi kuungana na watu wenye mtazamo wa magamba
CDM bado imara sana, ina watu wengi sana wanaofaa
Dr Slaa na Mbowe bado ni makamanda wa nguvu, Mnyika ndo mwanzo anawachachafya.
Kwa upande mwingine,kuna kundi kubwa sana la vijana wanaokuja...
hiri rimura naro sijui rimetoka wapi
Zitto hana sifa za kugombea uraisi kwa mujibu wa katiba ya sasa, kama magamba (wewe ni mmoja wao) mnampenda, basi mumpitishe huko ndani ya chama cha magamba na majambazi (ccm) m
Zitto atakuwa hajafikisha miaka 40 inayotakiwa kikatiba mwaka 2015
CDM wanafuata sheria iliyopo na hawatamsimamisha Zitto mwaka 2015 (unless katiba imebadilishwa).
SO
Kwa vile mafisadi wa magamba mmezoea wizi na kutojali sheria na katiba ya nchi,
basi, mpitisheni zitto agombee kwenye chama...
Kuna wengine wanasema kuwa Zitto na Shibuda ni popular kuliko CDM,
Kama kweli Zitto na Shibuda wanaamini hizi pumba za magamba, basi, waanzishe chama na wakiite
CCMYC - chama cha mapinduzi ya chadema
halafu wagombee pamoja mwaka 2015 - Zitto rais, Shibuda awe mgombea mwenza
Kisha, kama...
By 2015, Zitto atakuwa ana miaka 39, pungufu ya kile kinachotakiwa kugombea uraisi kwa katiba ya sasa.
Hili, bado halijaacha wanafiki na magamba ya CCM hapa JF, kuendeleza pumba zao za kutaka CHADEMA wamsimamishe Zitto mwaka 2015.
Ushauri wangu kwao ni huu,
Kama mnampenda Zitto kihivyo...
Nakwambia hype iliyoko kwenye media za bongo (hasa clouds) utadhani mwisho wa dunia umefika.
Watu wengi hawajamuelewa vizuri president wa bongo yetu hii
And that is the point Manumbu,
Watu wanategemea makubwa sana toka kwa president wetu as if wamekuwa wanaishi shimoni miaka saba iliyopita.
Nimecheka sana kusoma msitari wako wa mwisho ... cant wait for that to happen
Sijaliona hili kwenye news.
Pasco wa JF yuko wapi when u needed him?
Pasco uko wapi ushike bango kama ulilomshikia Dr. Slaa last time?
Vipi umepanda kwenye kaburi (na jeneza) ukitafuta wana ccm kwenye mazishi?
Just wondering
kuna wengine hadi wameanza kujadili kama fulani yumo kwenye baraza au
hivi kweli mmekuwa mnafuatilia president wetu vizuri kwenye maamuzi yake
.. toka enzi za buzwagi, epa, richmond, na kadhalika
wengine hadi wanasherehekea ushindi wa ccm dhidi ya chadema katika hili
... just watch this...
Magamba bana kwa pumba hamjambo,
Hapa unachanganya vitu viwili,
kuteuliwa - ambayo inategemea nia na madhumuni ya mteuzi
kugombea - ambayo ni beyond nia na madhumuni ya mteuzi(if you can call it that way).
Wagombea wa chadema walijitokeza wenyewe, Mtei had nothing to do with it,
Wajumbe wa...
kama kweli polisi huwa wanazuia maandamano au mikusanyiko ya wana chadema kwa sababu ya al shabab?
ilikuwaje wakaruhusu mazishi ya kanumba, na mechi za uwanja wa taifa, na matamasha ya miziki, na arusi, na ngoma na .....?........ nimechoka. Ngoja nikapate kisusio kidogo kisha nirudi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.