Habari ndugu zanguni.
Nahitaji kuelimishwa hili, kama kuna uwezekano kuishitaki serikali endapo itaingia mkataba wowote ambao utahatarisha ajira za waajiriwa wao.
Nauliza tu ili niweze kutanua uelewa wa baadhi ya mambo.
Nashangaa tena nashangaa sana wanasiasa wenzangu ambao mpaka sasa ni wabunge wa majimbo mbalimbali bado wanafanya siasa za miaka ya 90's huko wakati tupo kwenye ulimwengu wa wapiga kura waelewa na wasomi wengi tofauti na kipindi cha nyuma.
Mwanasiasa kijana tena wa kileo bado anaanzisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.