nashindwa kuelwa kuwasomesha koteee hukuu wanaachishwa kaziiii then wengine wana faidi matunda ya tz sii boraa wange rudishwaa tuuuuuu ilaa kwa vigezoo maalumuu!
kweli mkuu bunge letu lime kaa ki anasaaa sanaa ndomanaa wabunge wanakua na mda wa kulala na sio kusinziaaa!tatizo uma rufuuuu ndooo shida kutaka mambo makubwa!wakati tuna tegemea misaada!
hawa wachina wanahaki ya kutoa kichapoo kwa hao polisi manake polisi hawa kuwa tendea haki ili bidii wafatilieee hao walio wagongaa!polisiii rushwa sio nzuriii jamanii!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.