Nina gari aina ya Starlet ya 1999
Lipo kwenye hali nzuri AC kila kitu je UBA wanaweza kunikubalia kulisajili? maana kuna jamaa hapa kaniambia wanasajili kuanzia magari ya mwaka 2000.
Naomba kujua ukweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.