Habari zenu jamani huku kwetu hatujambo tunaendelea kufurahi na kumushukuru Mungu kwa kuturinda.
Jamani mtu ambae anataka kutembelea kwetu huku Kigali Ni karibu kabisa maana sisi sote Ni ndugu
Wakuu mm ni mgeni humu ndani na naishi nchini Rwanda na nimependa jamii forum maana kuna mambo mengi yanayohusiana na maisha ya kila siku ya binadamu.
Mm munyambo naomba mnipokee kwa mikono miwili na nawakaribisha huku kwetu maana sisi wote ni ndugu.
Asante!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.