Kuna kitu kinaitwa CRB(Credit reference bureau)hapo ukichelewa kulipa mkopo wako wanakueka hapo hata kama ukimaliza kulipa utakua bado upo CRB kwa hio utatakiwa kuomba bank yako kukutoa kwenye CRB,Na kipindi chote ukiwa CRB Huwezi kupoke mkopo wowote kutoka kwenye taasisi yoyote.
Huku kwetu...
Kama mnabisha kwamba huyo sio mkenya ni mtanzania mwenzenu mm nitakua wawapi jamani maana kiswahili mataifa mengi wanazungumza tena vizuri tu,ila Tanzania hata mm napapenda sana hasa maeneo ya buza
Mambo ya salun sio rahisi wafanyakazi ni wajanja janja kwa hio salun inahitaji uwangalizi wa hali ya juu by th way salun ni biashala ambayo haiumizi kichwa sana ukipata wafanyakazi makini na location nzuri.
Mm namiliki salun tano mjini hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mwenyewe niko hivyo naweza kushinda nyumbani bila tatizo na nikipata mgeni naona kama ananikela naomba aondoke haraka nibaki peke yangu na nikiwa kazini napenda kua peke yangu sipendi kupiga story.
Kwa kifupi maisha hayo nayafurahia sijari mambo ya watu wengine najali mambo yangu tu na...
Mimi Nipo huku Uganda natumia dish la azam napata chanel 200 na za local nazipata lakin wameandika paid na hazionyeshi,naona za;malawi za zambia na injili peke yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.