Kama utakua tayari kuniuzia mahindi na majani yake yakifikisha miezi 3niko tayari kununua wa heka Mimi nayavuna na kusaga kwa ajili ya Chakula cha ngombe huna haja ya kusubiri miezi 6mpaka yakauke Mimi nahitaji yakiwa mabichi kwa ajili ya silage
Ndugu yangu naomba nisaidie hapo maana hata mimi nimepata Sana shida na Ngombe Hawa wa kununua nane nane woote niliambiwa watatoa Lita 20 kwa siku hvyo lita 10 asubuhi na Jioni
Kuna kitu tunakosea haswaa kwenye feeding hatujaweza kutumia majani sahihi ya kulisha ngombe mpaka nilipo anza kutumia...
Kwa Wale woote wanaofuga Ngombe wa maziwa au wanapenda kujifunza Ufugaji wa Ngombe wa maziwa Karibu ujiunge kwenye group letu la whtsap ili kubadilishana mawazo ya kiufugaji kwa njia ya kisasa
Ziara Dairy Farm TZ Forum
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.