Mimi nimekutana na Sumaye analalamika Pembeni Ila kwenye vikao VYA CCM anakaa kimya.
Pia yule alokufa kwenye helcopter Deo Filikunjombe.
January Makamba ni moja ya hazina ya vijana wa kuja kuongoza Taifa hili hapo Mbele.
Nimefanya naye kwenye program ya Wakimbizi Kigoma, pia tumekutana USA...
Napenda sana pesa sina haja ya kuficha,
Mwanaume akinipenda ajipange
Silali njaa.
Sipandi daladala Ni Uber au bajaji
Maharage nakula mara tatu tu kwa week
Natumia iPhone tu kuanzia 8+
Vocha naunga mwezi kifurushi
Shopping nafanya kwenye Malls na supermarket
Ndo maana najitahidi...
Kama nilivyoeleza awali kupitia Uzi ambao niliuweka week hii
Nimeamua kuwaambia ukoo wangu, Kuanzia Mama sina Baba R.I.P
Mashangazi, Baba Mdogo na wajomba nia yangu ya dhati kuiomba msamaha familia ya ambaye alikuwa mchumba wangu,
Naenda kuomba msamaha nikitegemea maswali magumu,
Naenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.