Wewe na Huyo Bana wako tambueni kwamba:-
Wajibu wa Serikali ni kuona mashinikizo yoote kabla hayajawafikia raia na kutafuta njia za kuyaondoa kabla hata hayajakaribia. Inapotokea Mashinikizo yakawafikia raia hakika raia hao wataishinikiza serikali kufanya wayatakayo ili yaondoke kwenye mazingira...
Kuna wabunge kadhaa wa ccm walijigamba kuwa wao ni wapambanaji wa ufisadi! walienda mbali zaidi kwa kudai chadema waliiba hoja yao ya kupambana na ufisadi!!
Jamani niambieni mbona hawajasaini kwenye kile kidaftari cha mpiganaji Zitto?
Wewe unasema nini kuhusiana na hao wanaojiita wapambanaji?
Baada ya mahakama kutoa hukumu, Lema ametoa maoni akishutumu ikulu kushinikiza Mrema avuliwe Ubunge. Masaa machache sana baadaye ikulu ikatoa tamko/taarifa kwa vyombo vya habari.
Kuna matukio mengi sana yaliyoliweka taifa katika hali tete na hayakuwa kujibiwa ndani ya muda mfupi kiasi hicho...
Mzee mwanakijiji!!
Kuchaguliwa na wananchi kwa ridhaa ni jambo tofauti na kusoma figure za ushindi zilizopikwa. hoa hawana sifa za kujisema wamechaguliwa na wananchi.
Just ask this simple question: Mbali na kuchakachua JK kapata 61% kati ya 31% ya wapiga kura wote waliojitokeza. maana yake...
wOW!! this is interesting!!
yaani hayo yote ni kuvizia hizo kazi zisizohitaji kutumia akili Loh!!
By the way kwa nini Sioi kakubali kurithi kiti cha baba yake?
Je, huo ni ubani anaopewa na ccm baada ya mdingi wake kufanyiziwa au kusaidia kwenye zile dili za richmond na EPA?
Ifuatayo ni hadithi ya kweli nilisimuliwa na Baba Yangu mwaka 1987. Nimeona nichangie nanyi. Ipo Hivi:-
Mnano mwaka 1987 jioni nimetoka shule ya msingi mimi na baba tulikuwa tunasikiliza taarifa ya habari RTD baadaye ikasomwa habari kwamba Rais Mwinyi alikuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa...
mbona ninaona vijana tu, na hakuna wazee?! au wazee walishindwa kupande maroli?
safari hii nani katoa maroli? je, ni dewji?
OH!!
SAMAHANI nilijua hao ni ccm, maana nilizoea miaka ile tukiwa shule tulilazimishwa kwenda kwenye mikutano yao na tunapoingia uwanjani [mfano uwanja wa Aman] jamaa...
kuna watu wamevishwa uniform na kadi feki za chadema watafanya fuja kwenye mikutano ya ccm halafu TBC na Star TV watanyesha.
Sifahamu chadema wamejiandaa vipi kilikwepa hili zengwe!!!
NAGALIZO:-
Unapokuwa na uraia/passport ya nchi nyingine pamoja na Tanzania ni kwamba unakuwa umekosa sifa za kuwa raia wa Tanzania [yaani automatically wewe si raia wa Tanzania] ndiyo sababu wanasiasa wanaendesha kampeni ya chinichini ili hicho kipengele kifuatwa ibaki kwamba unapopatikana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.