Hello.
Kwanini Diamond platnumz na Timu yake ya Wasafi ikiundwa na Zuchu,lavalava imeonekana Wanajitenga sana na wasanii Wenzao sio kwenye misiba wala sherehe.
Au ndo masharti ya mganga wao.
Diamond Hajaonekana kwenye msiba wa Gadner G habash.
Viongozi wote wakubwa Tumewasiliana nao ,ila hawana majibu yakueleweka.
Nimeomba uongozi wa jf wajaribu kushare kwenye platform zao za kijamii ila haijaweza kuwa hivyo.
Habari .
Ebu tuambie Mbunge yupi unatamani asirudi bungeni na utaje sababu?
Gwajima Hakuna alichofanya kawe.
Babu tale siasa 2020 ilimbeba sasa ni muda wa kusimamia majukumu ya kimziki.
Ummy Mwaimu upepo wa Corona ulimwendea vizuri ni muda wa kupumzika sasa.
Karibu tujifunze kitu.
Habari.
Shirika gani la serikali au Taasisi gani ya serikali ni ya Ovyo na linatakiwa kufanyiwa marekebisho.
Ndugu mwananchi litaje na lieelezee ubovu wake viongozi wa serikali wapete mawazo ya kufanya.
TANESCO nashauri litaifishwe.
Hamna kuna mtu alinitia sana moyo juzi ila Moyo wangu uliumia sana.
Ni mwendo wa kuomba ,kufunga sadaka kwa wingi hadi Mungu atatukumbuka tu.
Tusifanye vitu kwa akili zetu mwili kuns mida unachoka
Kada yangu kila mkeka lazima iwepo sema database yake iko Active kinyama..
Ila Haikosi iyo kada karbia mikeka yote ipo
Ila nadhani jina langu kuna siku watalikumbuka
Kawe kubwa mzee.
Rain bow kule kote kawe hadi clouds kawe lugalo kawe yote hiyo Maana Kara ya kawe ina mitaa minne.
Mzimuni
Ukwamani.
Mbezi beach A
Mbezi beach B
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.