Yawezekana. Kamlio kama vile kuna kitu kinagonga gonga kwa kuenda sambamba na mzunguko wa engine. Ni wakati wa silencer tu (ikiwa kwenye P) nyakati za jioni ama usiku.
Wataalaamu wa magari,
Sikiliza audio ya silencer kama nilivyoirekodi kwenye engine ya Toyota IST. Kuna mlio wa 'kugonga' hivi kwenye engine.
Asubuhi napowasha gari hamna shida, silencer inakuwa normal and smooth. Lakini jioni au usiku naposimama na kuweka 'P', silencer inakuwa inasikika hivyo...
Gati za pande zote mbili kwenye ardhi imekuwa ni kero ya muda mrefu sana kwa magari ya chini (saloon cars).
Hiki kivuko ukiwa unaingiza gari au ukiwa unashuka, ni lazima ukwangue bampa la mbele la gari. Hata uwe makini namna gani kukwepa, lazima uburuze bampa!
Mark X ya jamaa yangu ishawahi...
Kuna mdau hapo juu kashauri kuwa nikiweka soft springs na shock up brand ya KYB, itakuwa poa.
Nadhani 'suspension system' inajumuisha vitu vingi sana ambavyo ni vital kwenye car stability, sio vya kuchezea chezea kwa fundi asiye mbobezi.
Soft springs. Zinagharimu kiasi gani? Haziathiri stability ya gari?
Pia nishasikia sana kuhusu hizo KYB Shock up, wanasema ni shock up imara lakini ni stiffer!! Not softer. Hili lipoje? Na zinagharimu kiasi gani hizo shock up?
Na je vipi kuhusu shock ups brand ya 'Bilstein'?
Ahsante kwa hiyo technical knowledge mkuu.
Kuna mdau hapo juu katoa tumaini kuhusu ukavu wa hizi Japan baby walkers. Amerecommend kufunga 'Air Suspension'.
Bado beby walker za Mjapani ni affordable kwa wengi wanaomiliki. Shida ni hiyo tu... suspension system yake sijuwi ipoje tu, ni vikavu mno unapodrive kwenye rough roads.
Umenivunja mbavu mkuu. Gari inadunda kama kitenesi!! Hahaha
Sasa mkuu, je kuna namna yoyote mechanically ya ku-upgrade suspension system ya hizi beby walkers za mjapan zikawa na mneso? Au labda kuna shock ups ambazo ni more luxury and softer ambazo naweza nunua na kureplace?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.