Habari za mapumziko ya Pasaka Wana JF,
Kwa wale wenye twakwimu embe tuwekeeni hapa ili tuweze kujua vipindi vya kilimo kila mkoa na aina ya mazao yafaayo kwa kilimo ili tuzione fursa na kuzikamata
January Wawakilishi wa wananchi watakutana tena Jan 2015 na hapa tunajua wazi Serikali inatakiwa kuja na taarifa ya utekelezaji wa Maazimio ya Bunge silaha pekee ni kura ya kutokuwa na imani na serikali yani waziri mkuu by the way mwanasheria katangulia sawali litakuja kwanini Rais ameridhia...
Habari nyote,
Nimejaribu kutafuta sheria inasema nini kuhusu wafanyakazi wa kigeni wanao kuja nchini na kushika ajira ambazo ni haki ya vijana wa kitanzania,wana JF sheria inasema nini?
Naomba michango yenu.
Asanteni
Heshima kwenu wadau,
Natafuta mawasiliano na wahusika wa hii shule hasa ya sim au email nayahitaji kwa haraka ama kwa unae jua ada yao kwa mwaka kwa form one basi itakua vema ukinifahamisha.
Wadau hapa mjini kuna kila namna ya utapeli hivyo kwa wale wenye uhakika na hich kitu au hawa jamaa wanaojitambulisha kama hisa tanzania tumegeeni na sisi kidogo,hii chini ndo adress yao.
http://www.hisa-tanzania.wapka.mobi/
My dears Karibuni tujenge Taifa jamani kwa kupeana maujuzi ili wengine tu copy na ku paste huku tulipo kwa maslahi binafsi kwanza na ya wengine pia hapo badae.
Nilikuwa napenda kujuzwa kutoka kwenu wenye ujuzi wa mambo ya IT kuhusu hiyo mada tajwa hapo juu.
Natarajia mengi kutoka kwenu
Asante
Wadau wa elimu popote mlipo nipo katika mchakato wa kutafuta shule kwajili ya kidato cha 5 na cha 6 kwa mwaka 2012,kutokana ufinyu wa fedha ninatafuta shule yenye gharama nafuu popote pale katika mikoa niliyotaja (private school)day and boarding school.
Hivyo kama wewe ni mkuu wa chuo ama...
Ndugu zangu wapendwa nina wasalimu katika jina la yule mwenye jina lipitalo majina yote.
Salamu kwenu wanafunzi wote mlio vyuoni na mliomaliza masomo yenu.
Salamu kwenu kina Babalao na wengine wengi mliobahatika kuwa wataalamu wa masula ya uchumi.
Salamu kwenu viongozi wa Taasisi mbalimbali...
Wapendwa nishaurini,
Huyu nijamaa yangu amemaliza mtihani wa form four na anauhakika wa kufanya vizuri ila kwasababu ya majukumu anataka kupumzika kwanza yaani anataka kwenda chuo chochote ili aweze kupata ajira then badae aendelee na masomo ya A Level ila tatizo nikwamba hajui aende chuo gani...
Jamani form four wamefanya karibu asilimia 80 ya mitihani yao sasa naomba mnisaidie anayefahamu maswali ya Bible knoweldge anifahamishe coz kuna mdogo wangu anafanya tarehe 17 october sasa anataka kufanyia mazoezi.
Kama nitapata past paper basi itakuwa nzuri sana.
Mbarikiwe
Kwanza tuambiane kwa mliokwisha wahi kufanya biashara ya hisa na hasa tunapozungumzia faida,hivi tuwe wakweli ili hatimae tupime wenyewe na tuamue na sisi ambao tunafikiria kuhusu hisa tufanye maamuzi sahihi,swali linakuja kama ifutavyo.
Hivi faida itokanayo na uwekezaji katika hisa inavutia...
Wapendwa wana JF Wenzangu,nawashukuru na nimekuwa nafaidika sana na ukarimu wa mawazo yenu mnayotoa bila choyo chochote hasa kwasisi ambao kidogo shule hailupata nafasi ya kuwa sehemu ya maisha yetu,mbarikiwe saaaana.
Leo wana JF wenzangu kwa heshima kubwa ninaomba mnielekeze ilinipate kujua ni...
Habari za kazi watanzania wenzangu.
Naombeni mishauri kuhusu course inayofaa kumpeleka mdogo wangu mara baada ya kumaliza form four ikitokea matokeo yakiwa sio mazuri
Aksanteni
Poleni na majukumu wana JF,
Awali ya yote niwapongeze kwa kazi kubwa sana mnayoifanya na hata kufikia hatua ya kuwa na SAKOSI hii ni hatua kubwa sana inayotakiwa kuungwa mkono,hongereni sana.
Niniaomba mnisaidie chakufanya kwani nina cash ya shilingi laki tano na sijui cha kufanya kwasasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.