Mmh, hawa itakua hackers, sidhani kama kuna hosting company yenye ujumbe huu. Kama hosting ingekua imeisha kwenye browser ingeleta ujumbe wa DNS address not found
Mbona walimu wanalingana mishahara na kada nyingi tu hapa nchini. Walimu wengi hawana changamoto za kipato, changamoto yao kubwa ni fikra duni na kujiona wanyonge.
Usidhani kuwa walimu wote nchini wanamaisha kama ya huyo jamaa anaewapa story.
Hii get ready for unexpected kwa mtu ambae bado hayajamkuta mambo anaweza asikuelewe.
Baada ya kusema hayo, sasa nitamke rasmi kuwa niko Tayari kwa episode ya 11.
Kwanza unatakiwa ujue hakuna binadamu asie na hofu, tunachotofautiana ni jinsi tunavyokabiliana nayo.
Dawa ya tatizo lako ni kufanya vile vitu unavyoviogopa bila kujali matokeo yake, kama unaogopa mademu we tongoza tu bila kujali utakataliwa au kukubaliwa with time utaimprove.
Huwezi kuondoa...
Mkuu nimefatilia huu uzi muda mrefu, na nadhani nisipo comment ntakuwa sijakutendea haki. Asante sana Kwa masomo yako. Nimejifunza vingi sana. Kuna sehemu nyingine nimejikuta hadi machozi yananitoka. Mungu akubariki kwa haya maarifa unayotupa bure kabisa. 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🥺
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.