tatizo ulilinalo nami limenikuta, nakunywa maji ya matembele, maziwa, folic acid, dawa nyekundu za damu, matunda lakini damu imetoka 12.9 mpk 9.8. Nataka kesho niende hospital ya serikali nikahakikishe zaid, maana sijaamini kabisaa sasa nimepewa dawa inaitwa hemovit wameniambia inaongeza damu...
Naomba kuuliza, nataka kulima vitunguu heka moja, nimeambiwa mbolea ya yara milla winner ni nzuri sana. Swali langu je kwa heka moja natakiwa nitumie mifuko mingapi? Na ninatakiwa nirudie kuweka mara ngaoi mpk kuvuna?
Asante sana kwa maelezo yako ya kutoa hamasa, mimi ndo napambana kulima heka tatu na ndio naanza sijawah kulima hata siku moja. nalima kilimanjaro maeneo ya miwaleni.
Mzunguko wangu ni wa siku 30 huwa napata period tarehe 7. Mwezi wa 7 nilipata period, tarehe 21,22,30/7na 5/8 nilisex. Sasa ni mjamzito, je ni tarehe ngapi kati ya hizo ndo nilishika ujauzito?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.