Habari za Muda wakuu,
Naomba Ushauri na kwa yeyote ambae ana uzoefu na inteview za utumishi kwani ndio mara ya kwanza na attend, kada ya commercial officer II (TRC). Walau nipate mwangaza wa interview zinavyokua.
AHSANTE
Habarini Wakuu,
Kwa mwenye ideas, maswali ambayo yanaweza kuulizwa na mawazo juu ya interview za sales kwenye banks, naombeni msaada kidogo, kwani hii ndo ya kwanza kufanya, na napenda kuifanya vizuri kabisa.
Ahsanteni
Wakuu, nnaomba ushauri na mawazo juu ya biashara nzuri ambayo naweza kifanya Jijini mwanza, nikiwa na kiasi cha Tsh 2 million. Nahitaji kwenda kuishi na kufanya Biashara mkoa huo, Ushauri, Maoni au Mawazo utakua msaada kwangu.
Ahsante.
Habari za Muda huu ndugu zangu.
Tusaidiane kidogo kwa mawazo au ushauri kwa yoyote mwenye ufahamu au uelewa wa jambo hili.
Kwenye kipindi cha mwezi ww tatu mwishoni nlikua najiskia maumivu upande wa kulia ww kifua yaliopanda mpaka shingoni, begani na kichwani kidogo upande huo uko wa kulia...
Wakuu,
nna dozi ambayo haifai kuchanganya na diclofenac, na natakiwa kuianza leo mchana, sasa jana mchana nlikunywa diclofenac pill moja, je mpk sasa itakua out of system ili nianze mchana huu dozi mpya? au nisubiri baada ya muda gani?
Nawasilisha Ndugu zangu.
I'm Looking for the Marketing or Related Position in any organization, as a fresh graduate of Bachelor Degree of Arts in Marketing. I'm capable of working within a fast paced and challenging environment, and i can make a real commercial impact as well as to improve employers business...
Imeelezwa kwamba mwanaume anaweza akachepuka na bado akawa na mapenzi na mkewe, lakini mwanamke akichepuka hawezi kumpenda mume wake tena.
Unakubaliana na hii au unaipinga?
Yabainika baadhi ya wanachuo wa kike hawaingii darasani, badala yake hubaki bwenini kuwapikia 'boyfriends' wao ambao ni wanavyuo.
Karibu Tujadili, nini hupelekea hili?
Jamani Tusaidiane Kubashiri Game za Premier Legue na zingine za leo kwa ujumla.
kwa Mtazamo wangu nianze kabisa kwamba.
Man Utd - Tottenham (Draw)
nakaribisha wanasport wenzangu kwa game zinginezo.
28 oct
The Bank of Tanzania, an equal opportunity employer and Tanzania’s central bank, is looking for suitably qualified young Tanzanian citizens of high personal integrity to fill the following vacant position at the Head Office.
Following Bank’s review of its staff establishment, all job positions...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.