Nyumba ya asili ya wachagga haikujengwa kwa udongo wala haikupigwa bati ilikua ni full nyasi.hii imejengwa kwa structure ya zile nyumba za asili za wachagga Kasoro yake ni ya udongo alafu imepigwa bati. Kwa hiyo nyumba hii haijabeba uasilia ule .ila imejengwa kwa mfano ule.
"Noniyang'waka umeongea ukweli mtupu. Watu wanamzika mume na kilichomuua kinajulikana kabisa(TANESCO). matanga yakiisha tuu hata arobaini bado watu wanaanza kumsarandia mjane. Unashangaa ukoo mzima unapukutika.
Kwa taarifa yako Victoria hajawahi kuwa chadema. Na si hivyo tuu mzee huyu hapendi kabisa kujihusisha na siasa. Ni mlokole mzuri tuu.we unaejiita chif wingia ukiona kila mfanyabiashara mchagga basi akilini kwako unafikiri mtaji kapewa na chadema? Kama wabeshi wamempiga kwa kumwuuzia eneo silo...
Tabutupu nakuunga mkono kwa hoja, ila Kuna jambo moja hujagusia. Magauni yao yawe ya staha. Sometimes hivyo vimini wanavyotupia Haviwajengi ila vinawashusha. Wangeweza wakavaa hata suruali zisizobana na makoti ( kama wanavyovaa wadada wa Kenya airways) au sketi za staha na blauzi nzuri ...
Unafiki ni kitu kibaya sana. Kwanihao machangudoa wateja wao ni kinanani? Je Hawa mashoga waliojaa kila mahali mitaani wateja wao ni kina nani? Mbona wadada ma tom boy wanaonekana kuongozeka kwa wingi Sana nyakati hizi? washirika wao si wapo miongoni mwetu? tena wadada wenye heshma zao na...
!Bosi Kwa hiyo we unataka watu waishi kwa tabu, kwa hiyo mtu anapoishi kwa shida we rohoyako inafarijika? Kwamba mwenzio akiishi kwa mateso we hua unafarijika rohoni? Hilo linaitwa pepo la chuki. (Sadism spirit) nakukaribisha uje kwenye huduma yetu ya maombi ya mission Heal The world tupo masaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.