Yeah,wakati npo o level teacher mmoja wa physics wakat anatufundsha alisema madogo kuna paper kutoboa mpaka unapga bao sikumuelewa nikaja kuelewa a_level
Hii ilinitokea paper 2 ya advanced mathematics npo na pga swali la probability wakati huo msimamizi anasema tumebakiwa na dakika tano na swali nalijua ikatokea mvutano tu plus panic nikajikuta nakosa nguvu mwisho nikapiga bao...niliwasimulia washkaji walicheka sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.