hahahahahahah usinikumbushe mana ndio ulokuwa mchezo wangu naenda kumwambia mwenye duka mama anataka mchele mzuri ulionao akauone, ananiambia chota ikifika hapo ameumia nachukua mwingi naenda kupikapika...siku 1 akanifuatilia akakuta napika alinibeba hadi home nilikula kichapo cha paka mwizi...
Inaonekana wanatoa kazi kwa kujuana na hawafati sheria za ajira...na huo ndio mwanzo wa kuwa kibaraka wa mtu aliyekuleta kama ni dada utaombwa ngono kama malipo ya kuwekwa kazini kama ni kaka utaishia kuwa kuwadi au watchman wa aliyekuleta.
Hata mi mwenyewe kitu hicho kinanisumbua wakati wa interview na inawezekana ndipo ninaposhindwana nao , ila cha msingi ndugu wakiuliza wakulipe kiasi gani wajibu kimtego waambie wakutajie mishahara yao kitu ambacho hawatafanya na wakilazimisha sana waaambie kutokana na elimu yako na viwango...
Sina uhakika ila ukiomba mkopo si unapeleka mchanganuo kwanza na wakiridhika ndio unapewa hela, sasa kama ni hivyo ni bora ufuate huo mchanganuo vinginevyo, tunasubiri majibu baada ya sikukuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.