Habari...
Nimejaribu kuuliza na kufatilia kwa kiasi fulani kuhusu hii kitu lakini nikaambiwa ni sayansi tu. Lakini mimi naona kama kuna nguvu za giza zinatumika hivi.
Kama ni sayansi kwanini isitumike ipasavyo kwenye maswala mbalimbali kama mapenzi, ajira, michezo n.k na ikafundishwa mashuleni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.