Nawasalimia kwa jina la JMT.
Ndugu yangu anatafuta gari ya kununua mkononi, lakini iwe gari iliyonyooka.
Kaoneshwa gari na madalali, inaonekana kaipenda, lakini kuna vitu kama ana mashaka navyo!
Kanishirikisha picha za gari, kimuonekano wa nje na ndani gari imetunzwa vizuri.
Ila hii picha ya...
Salaam, kama kichwa cha habari kinavyojieleza; naomba kuelekezwa mahali panapouzwa hivyo vifaa vya kuhifadhia fedha kwa hapa Dar es Salaam.
Nahitaji safe original kama hizi zinazoonekana pichani, na sio zile fekero za vichochoroni!
Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.