Swala la uvunjifu wa kanunu za chadema ccm wanaingiaje? Serikali ifanye hili ifanye hili nauliza lile la madiwani kuvunja kanuni ama katiba ya chadema yanahitaji serikali ya ccm? Unajua mazoe mabaya tusipoangalia kuna siku kiongozi utaambiwa mke wako mjamzito then useme this must be CCM
Hivi ni kuipenda chadema au bundi ni bundi tu hata awe mti mrefu?
Lisu na lema hawana hadhi ya kuwa wabunge, walistahili wawe viongozi wa makuli bandarini au viongozi wa wafyatua tofali, bunge ni semu ya kutumia akili zaidi kuliko nguvu na jaziba zaid. Wajueni watu kabla hamjashabikia, lissu...
Unaetathimi moto wa chadema kwa sasa igunga umetoa ball possession ya timu kwa mechi ambayo hata timu hazijaingia uwanjani, chadema wamepita huko ccm hata hawajafika uwanjani unasema possession ni 80 yaani wako pekee yao wana 80 percent subiri timu ziingie uwanjani. Najua itawaudhi ila ni kwamba...
Mnasifia nini hapo? Slaa alikupuka na kutoa vitisho bila kujua umaarufu wake umesimamiwa na kusemewa vizuri na madiwani. Alisema atawafukuza. Hao walioomba radhi hata hawakushitakiwa mnamdanganya nani waliotishiwa wote wamesimama imara kauli yao wanamtaka slaa atoe ushahidi wa yale...
Anayedhani kuna kura ziliibiwa ni mwendawazimu tu na hana kumbukumbu, tazama CCM ilikuwa na sababu gani ya kuiba wakati hata sehemu ilikopoteza waliopiga kura ni wana CCM. Acheni utetezi kabla hata mchezo kuanza. Tafuteni kingine IGUNGA ni ya CCM.
Nape, NApe? Hamna kazi ya kufanya? Bangi zenu zimewasababishia mfikiri kwa kamasi badala ya ubongo, na atakuja arusha sasa tuone kati CCM na hiyo NGO nani mwenye nchi. Uwendawazimu huu umenichefua sana. Mtu mwenye akili timamu hawezi kumkamia mtanzania mwenzake hata hujajua anakuja kuongea nini
Ni kweli mbowe hakujiandaa, angejiandaa angebadili swali. Unapewa penalt unapiga nje refa anasema rudia muda huo huo unapiga nje tena na bado unajiita profesional
Mnakula nini mpaka ubongo unageuka kuwa kamasi? Ungekuwa na ubongo wa kawaida huwezi ukafikiri kwa kutumia kamasi kuwa eti kuna machafuko mahali fulani nasi tuanzishe, a shame to you. Tumia akili kama ni pepo la kuandamana nenda kaombewe
Mwendawazimu wewe, laiti ungeipenda Tanzania hungekuwa na wazo la kuchochea machafuko ndani ya nchi yako. Do you know the exact cost. Mawazo yako ya kiubinafsi na ulafi wa madaraka. Huyo unayemhangaikia awe Rais mmeo na kama ni mmeo sio mwite rais muwapo kitandani? Kwani lazima aende ikulu? Look...
Mimi niliyeshudia huyo mtu sio kilaza na anao uwezo wa kusema kwa hisia na mpaka kuwafanya watu wapokee hotuba kwa hisia kali, hayo maneno ulioordhesha aliyoyasema yamepokelewa kwa hisia kali kuliko ulivyoyaelezea hapo, watanzania wengine nadhani unawafaham, mpaka anamaliza hotuba walikuwa...
Huyo bwana sio wa kupuuza, nilikwepo pale, anauwezo wa kujenga hoja, atakayesema nimzaha hatendei haki jf na mwishoni nilibaki kwenye vikundi watu walikuwa wanashabikia maneno yake, niliwasikia wakisema laiti huyu angekuwa mbunge wetu, na mwingine alisema kumbe ccm bado inaviongozi wanaojali...
Uroho wa madaraka utaliua taifa, watu hata mchana wanaota madaraka, kauli zote za mbowe ni uroho wa madaraka na watanzania mkichekelea mtapokea machafuko.
Mwigulu ni mtu makini, mwaswali na hoja zake huwa makini, kumbukeni wakati anachangia matokeo ya mtihani aliongea vizuri sana, pia alichangia kuhusu walimu na wanafunzi wawekwe kambini ili kuwe na fursa, pia alichangia wanachuo kukopa kwa kutumia vyeti kama dhamana and many other points
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.