Imekuwa ni kawaida ya makampuni ya simu kuanzisha promosheni au bahati nasibu na kuwatumia wateja wao sms za kuwataka waendelee kucheza michezo hiyo.
Kwa leo tuongelee kampuni ya Vodacom kupitia mchezo wao unaoitwa Tusua Mapene, ukitumia namba 15544. Huu mchezo umekuwa ukiwaibia wateja kwa...
Ni takribani mwezi sasa tangu azimio la wahariri na wanahabari kutamka kutompa ushirikiano mkuu wa mkoa wa Dar ndugu Bashite..
Leo katika mtandao kuna habari inasema huyu Bashite atakuwa mgeni rasmi kwenye mashinda ya Basketball mkoa wa Dar es salaam huku mashindano hayo yakidhaminiwa na...
Kwa wadau wa mziki huyu Ney mnamchukuliaje? Sikiliza muziki wake mpya
Verse 1:
Unachokipanda leo ndicho
utachovuna kesho.
Imeandikwa Mwanaume kula kwa
jasho.
Najiuliza hivi ni nani kaiona
kesho.
Chapa mwendo na ukilala hauna
chako.
Hivi uhuru wa kuongea kwenye hii
nchi bado upo?.
Usije...
Ikiwa takribani miaka miwili tangu serikali kutangaza kubadili mfumo wa ukusanyaji mapato na kuwa wa kieletroniki, Uongozi wa jiji la Arusha chini ya usimamizi wa CHADEMA umekaidi amri hiyo pamoja na sheria zake na kuendelea kutumia risiti za vitabu.
Vyanzo vyetu vimebaini hali hii ambayo...
Wakuu, Siasa inahitaji maandalizi ili kushika nafasi ya juu katika uongozi wa nchi. Nimekuwa nikimfuatilia Ndg. Mwigulu Nchemba tangu sakata la Arusha mpaka kutaka kugombea urais kupitia chama chake CCM.Nilichokibaini kuna mabadiliko sana katika mwenendo kauli na hata uvaaji.
Kilichonishtua...
Habari zilizonifikia hivi punde na kuthibitishwa na chanzo huru kinataarifu msanii John Walker ameagaa dunia leo alfajiri akiwa hospitali ya Muhimbili alikofikisha kupatiwa matibabu.
Walker alilipukiwa na gesi jana (iliripotiwa hapa JF pia)
Msanii huyu alitamba na staili yake ya mziki akiimba...
Wadau wa jukwaa wasalamu
Kufuatia kuendelea kuvunjwa kwa nyumba zilizojengwa sehemu zisizo stahili nina mambo haya napenda tujadili
a.Kuna uhalahi wowote wa watalamu wanaohusika na kutoa vibali vya ujenzi na mipango miji kuendelea na nafasi zao?
b.Tumeshuhudia nyumba za maghorofa ambapo ujenzi...
Katika mwendelezo wa viongozi wa CCM kuonyesha usanii, leo asubuhi Pius Msekwa akihojiwa katika kipindi cha powerbreakfast on saturday cha Clouds Fm, amekiri waziwazi kuwa nafasi ya mwananchi katika kumwajibisha kiongozi mbovu aliyemchagua haipo.
Tukumbuke CCM ilipinga pendekezo la tume ya...
Habari wana jamvi,
Wakati joto la uchaguzi mkuu likiendelea kupamba moto imefahamika kuwa jimbo la ubungo wagombea wengi wameanza kuogopa nguvu ya JJ Mnyika ambapo sasa wameamua kutafuta majimbo mengine.
Mmoja wa wanasiasa ambae amekimbia moto wa Mnyika ni bwana Nape Nnauye ambae ameenda...
naomba kama kuna anaejua nini tatizo la tecno Kwenye whatsap aplication mana nilianza na P3 whatsap ikagoma nikanunua M5 ikagoma baada ya muda.hili si kwangu tu pamoja na baadhi ya watu wenye simu za tecno.
katika jamii yoyote ile rika lenye nguvu hupewa nafasi ya kipeke kufanya maamuzi ya mambo mbalimbali kwa manufaa ya wengine.
leo katika kuangalia kipindi cha dira ya dunia saa tatu usiku..mwandishi wa habari Zuhra yunis anadai kutokana na mahojiano na mfuasi wa alshabab moja ya sababu ya...
akiwa mkoani morogoro kufuatilia mgogoro wa wafugaji na wakulima,waziri alijikuta katika hali mbaya baada ya kuamuru wanakijiji kuachia ngombe za wafugaji bila malipo.wakulima kuona hivyo walimwambia wazi wazi bila ya kitafina maneno ng'ombe hawatoki bola malipo.source TBC1 Habari saa mbili usiku
Wakuu cjui nina bahati mbaya au ni nini.katika mademu watano nliyokutana nao kimwili miezi ya hivi karibuni watatu kati yao wana hivyo vinyama kama si kimoja basi ni vitatu.kwa kweli vinaondoa ladha kabisa.je wakuu hivi vinatokana nini na nini madhara yake kama utakutana kimwili na mtu mwenye nacho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.