Mkuu Chief-Mkwawa asante sana kwa elimu unayoitoa mkuu. Mimi naomba msaada wa mawazo. Nahitaji laptop mpya nzuri itakayoweza himili kazi nyingi. Budget yangu ni btw 2M - 2.5M (nitavutiwa zaidi kama itakua super slim)
Nawasilisha.
Naomba nieleweshwe kama KUNOMINISHA na KUUNDA KITENZI JINA ni kitu kimoja au kuna tofauti na kama kuna tofauti ni ipi?
Mfano: neno "CHEZA" kati ya "KUCHEZA" na "MCHEZO" ipi ni sahihi katika unominishaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.