Kisa kipo hivi, Jamaa walikuwa kwenye mahusiano na mdada miaka sita, huyu dada alikuwa amalize huu Mwaka chuo harakati za ndoa zianze, kuna miezi iliyopita Mdada alipitia kwa jamaa akitokea chuo hivyo wakafanya ya kiutuzima, badae mdada akasema amepata mimba Yake, hivyo wakatambulishana...
The dreamer company, nikampuni ambayo ipo geita na imeanzishwa kwa ajili yakuwasaidia watanzani wanaojenga kwa kuwauzia bidhaa kwa bei rahisi na pia kuwafikishia bidhaa wamiliki wa maduka ya ujenzi Kwa bei rahisi kama:
1. Gypsum bord aina zote
2. Mikanda ya gypsum aina zote
4. Maua aina zote
5...
Tunasambaza vifaa vya ujenzi tajwa hapo juu, Kwa bei ya jumla hususani Kwa wale wenye hardware na ujenzi mkubwa, karibu saana Kwa bei ya kawaida Kwa wale Wa kigoma, shinyanga ,Geita ,kagera ,mwanza na Musoma
Kwanza nianze Kwa kusema kuwa environmental health science ni kozi ya afya, Rejea vyuo vinavyoitoa kama MUHAS, KCMC.
Pili kuhusu internship, unapomaliza kutoka chuo ulichosoma , unakuja na vielelezo vyako vyote wizarani kwenye baraza husika, baada ya hapo unapangiwa internship wala hakuna ugumu
Hivyo vyote ninavyo ila huu Mwaka Wa tatu namtafuta Wa kuoa ila wote nao wapata wadangaji,,,kila ninaekutana nae kitu cha kwanza kuniuliza ni Kazi ninayofanya,,,Mfano nilipataga binti mmoja tukawa tunawasiliana vizuri ila akawa anasema yupo busy sana ila siku niliyomwambia nafanya Kazi gani siku...
Ngoja niachane na wewe,,,inaonekana labda hata shule hujaenda,,,wewe unaifahamu mifumo ya elimu ya Tanzania??? Tufanye bas kuwa ipo kama hiyo ya veta, kwahiyo unaweza kujiajiri bila mtaji???? Wewe umejiari mkuu au umeajiriwa???
Endeleeni kupiga mapambio , Naamini ingekuwa kipindi hicho cha 2010 vijana walioongezeka na barua za kaki kutafuta ajira hawakuwepo , kipindi hiki vijana graduate wamejaa kitaa hawana ajira ,hawana mitaji alafu unakuja na huu Uzi hapa
Endeleeni kupiga mapambio , Naamini ingekuwa kipindi hicho cha 2010 vijana walioongezeka na barua za kaki kutafuta ajira hawakuwepo , kipindi hiki vijana graduate wamejaa kitaa hawana ajira ,hawana mitaji alafu unakuja na huu Uzi hapa
Punda hapana,,, ila Mbuzi na ngo'mbe nivitu vya kawaida Kwa vijana wanaobalehe alafu Muda mwingi wapo wanachunga, Na kipindi cha jua Mbuzi hujikusanya kwenye kivuli ambapo mchungaji yupo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.